Heshima kwenu wakuu..
Ndugu zangu kuna Dada yangu juzi ameenda hospitali kufanya vipimo, baada ya vipimo amegundulika kuwa ana Uvimbe katika ovari kwani alianza kudai kuwa anasikia maumivu upande wa kulia chini ya kitovu...
Ndugu zangu naomba msaada wenu
1. Hali hii husababishwa na nini..??
2. Ni tiba ipi anayoweza kutumia ili kutatua tatizo alilonalo..??
Natanguliza shukrani...!
Ndugu zangu kuna Dada yangu juzi ameenda hospitali kufanya vipimo, baada ya vipimo amegundulika kuwa ana Uvimbe katika ovari kwani alianza kudai kuwa anasikia maumivu upande wa kulia chini ya kitovu...
Ndugu zangu naomba msaada wenu
1. Hali hii husababishwa na nini..??
2. Ni tiba ipi anayoweza kutumia ili kutatua tatizo alilonalo..??
Natanguliza shukrani...!