Uvimbe kwenye Titi la mwanangu

Uvimbe kwenye Titi la mwanangu

Msingida

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
10,239
Reaction score
11,731
Ndugu Wadau,
Mwanangu (15) jinsia (KE) ana uvimbe kwenye ziwa lake la kulia likiambatana na maumivu wakati fulani.Tumeigundua takriban miezi mitatu sasa na tumewaona wataalamu wa hospital (mount Meru) Arusha kwa wakati tofauti wamekuwa na ushauri tofauti ambao umetupa taabu kufikia maamuzi.
1.Mmoja alituambia ni kufanya operation na kutoa uvimbe
2.Mwingine katuambia asifanyiwe operation kuna dawa za kutoa uvimbe
Tupo njia panda wakati huu ambapo tunahitaji matibabu sahihi.Maana amemeza antibiotics mara nyingi bila kuwa na badiliko lolote.
Naombeni msaada wenu JF Doctors
 
TAABU YA GENERAL PRACTITIONERS (GPs) huwa wanatoa general solutions na siyo specific solutions kama ambavyo specialists hutoa. Sijui kwa upande wako hao madaktari ulio waona ni specialists au ni GPs. Nakushauri ujaribu Muhimbili kuna wigo mpana wa kupata specialists kuliko GPs.
 
TAABU YA GENERAL PRACTITIONERS (GPs) huwa wanatoa general solutions na siyo specific solutions kama ambavyo specialists hutoa. Sijui kwa upande wako hao madaktari ulio waona ni specialists au ni GPs. Nakushauri ujaribu Muhimbili kuna wigo mpana wa kupata specialists kuliko GPs.

Jibu zuri mpendwa, pia namshauri aende KCMC kwani ni karibu zaidi akitokea Arusha kuna clinic ya kila Alhamisi na Jumanne inaitwa Reproductive Helath Clinic watapima na wataalamu wataona nini cha kufanya, kwani uvimbe ni vyema ukatolewa na kufanyiwa uchunguzi wa kina, Histology kujua ni nini
 
TAABU YA GENERAL PRACTITIONERS (GPs) huwa wanatoa general solutions na siyo specific solutions kama ambavyo specialists hutoa. Sijui kwa upande wako hao madaktari ulio waona ni specialists au ni GPs. Nakushauri ujaribu Muhimbili kuna wigo mpana wa kupata specialists kuliko GPs.
Thanks for your concern.ntajipanga mapema iwezekanavyo.
 
Mpeleke kwa Gyenacologist wa kuaminika...usidharau mambo hayo ya uvimbe. Inawezekana ikawa cyst lakii kuitoa ni muhimu
 
Tafuta watalaamu wa ukweli bila kuchelewa na hatimae uvimbe utolewe mara moja. Usiendelee kungoja. Ni muhimu wanauwahi kabla hujawa kitu kingine ndugu. Mungu amlinda mwanao na kumpatia mganga atakaemtibu kwa uhakika. She is still very young and she should be fine.
 
Pole sana ndugu!

Kwa maeneo unayoishi anza kumpeleka KCMC na uwaone wataalamu maalumu wa matatizo hayo,

Ikiwa kutakuwa na ulazima mpeleke Muhimbili hapo kuna mabingwa wa magonjwa hayo!
 
Pole sana ndugu!

Kwa maeneo unayoishi anza kumpeleka KCMC na uwaone wataalamu maalumu wa matatizo hayo,

Ikiwa kutakuwa na ulazima mpeleke Muhimbili hapo kuna mabingwa wa magonjwa hayo!

OK Thanks
 
Nawashukuru wadau kwa ushauri wenu.
Upasuaji wa kuondoa uvimbe umefanyika salama na afya ya mtoto inaendelea kuimarika.
Tuna mshukuru MUNGU kwa Ukuu wake.
 
kwa mtu kama huyo uvimbe unakuja ghafla na unauma. Hiyo itaku benign tumor Au mastitis. Sidhan kama ni breast ca though nimeona waschana wadogo wengi wana agressive breasta ca.

Nenda hospital isijekuwa ca ukawa umechelewa. Bt wakati unajianda tafuta ceftriaxone injection plus metronidazole oral plus analgesic kama pcm au declofec.. wampe hospitali au dispensary ya karibu.
Plz PM kama utapata ugumu
Dr kim
 
kwa mtu kama huyo uvimbe unakuja ghafla na unauma. Hiyo itaku benign tumor Au mastitis. Sidhan kama ni breast ca though nimeona waschana wadogo wengi wana agressive breasta ca.

Nenda hospital isijekuwa ca ukawa umechelewa. Bt wakati unajianda tafuta ceftriaxone injection plus metronidazole oral plus analgesic kama pcm au declofec.. wampe hospitali au dispensary ya karibu.
Plz PM kama utapata ugumu
Dr kim

Thanks Dr.KIm
wamempasua na kutoa kidude kama ndulele,na kimepelekwa Nairobi kwa uchunguzi zaidi,watapo tujibu nitawajuza
 
Back
Top Bottom