Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari,ningependa kufahamu dalili za kuwa na uvimbe kwenye titi
asante kwa kunifahamisha,matiti yangu ni madogo na yanapishana bt sio sn yapo hvyo kwa miaka mingi tu la kushoto ni nene na kulia nene kdg bt la kushoto sametime nikiligusa linauma,ila hzo dalili ulizozitaja sina,wakati mwingine linauma nikikaribia kupata hedhi nikimaliza linaacha na linapungua kdg,itakuwa ninatatizo?