babilas25
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 482
- 353
Ndugu wanajukwaa naomba niende moja kwa moja kwenye maada
Kuna hili tatizo la kuota vipele vyenye kuwasha na pia husabisha hata nywele kutoota mahali vilipo tatizo hili linawapata sana wanaume, na huanzia kisogoni na husambaa taratibu kichwani.
Nini hasa huwa chanzo cha tatizo hilo na tiba yake ni ipi.
Kuna hili tatizo la kuota vipele vyenye kuwasha na pia husabisha hata nywele kutoota mahali vilipo tatizo hili linawapata sana wanaume, na huanzia kisogoni na husambaa taratibu kichwani.
Nini hasa huwa chanzo cha tatizo hilo na tiba yake ni ipi.