Yusomwasha
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 2,092
- 839
Habari wana JF,
Dada'ngu anasumbuliwa na tatizo la uvimbe ndani ya kizazi. Amefanyiwa upasuaji mara 2 akiondolewa uvimbe, na mara hii uvimbe umerudi tena ameambiwa kama ataenda hospitali tena itabidi akatolewe kizazi kabisa! Ana mume na kaolewa juzijuzi tu na hajawahi kuzaa.
Sasa huu ni mtihani sana kwetu jamani, naombeni mumshauri please..
Dada'ngu anasumbuliwa na tatizo la uvimbe ndani ya kizazi. Amefanyiwa upasuaji mara 2 akiondolewa uvimbe, na mara hii uvimbe umerudi tena ameambiwa kama ataenda hospitali tena itabidi akatolewe kizazi kabisa! Ana mume na kaolewa juzijuzi tu na hajawahi kuzaa.
Sasa huu ni mtihani sana kwetu jamani, naombeni mumshauri please..