Uvimbe wa Korodani

Isungamalunde

New Member
Joined
Jul 16, 2012
Posts
1
Reaction score
0
Mficha uchi maradhi yatamuumbua,
Nina uvimbe wa juu Korodani ya Kulia, ni tatizo gani hasa na nini tiba yake. Kuna wakati inasabasha maumivu kwenye hiyo private part.
 
Pole sana Ndugu yangu, tusubiri wataalam watakupa ushauri.
 
Mficha uchi maradhi yatamuumbua,
Nina uvimbe wa juu Korodani ya Kulia, ni tatizo gani hasa na nini tiba yake. Kuna wakati inasabasha maumivu kwenye hiyo private part.
Can be one of these diseases -orchitis, cystitis or epididymitis; caused by one of these pathogens: gonorrhea or chlamydia. However, urgent evaluation of the problem by a qualified medical practitioner is necessary in order to avoid unpleasant complications e.g infertility.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…