Tetesi: UVUMI : Pigo lingine kwa 'wanaume wa Dar'

Tetesi: UVUMI : Pigo lingine kwa 'wanaume wa Dar'

Ukiona sehemu kuna mashoga wengi, ujuwe na MENDE pia wapo wengi,,,na mara nyingi mashoga wanafata MENDE walipo,,means mashoga wanatoka mikoani wanafata MENDE dar,,,,lakini wengi wanaharibikia mikoani,,,
 
mara wanaume wa dar hawana nguvu za kiume, mara mashoga... takataka na uchafu ni dar..
 
Habari waungwana wa JF

Nianze kwa kidokezo hiki;

"Nautabiri mwisho wa rafiki,
Kama ndivyo naomba maulana,
Usimtende hivyo"

Hiki kilikuwa kipande cha mashairi kwenye nyimbo ya mshiriki mmoja wa BSS kipi inarushwa na ITV (bahati mbaya nimemsahau jina huyu msanii)

Haya niende kwenye hoja mama, uvumi uvumao huko Dar es salaam hivi haya yana ukwelii!!?, eti kwenye wanaume ishirini kuna wawili siyo ridhiki? (Hebu tufikiri pamoja hapa)

Kwani pale Dar wewe una marafiki wangapi wanaume?, binafsi imenishitua tetesi inayoitwa ripoti kwa mkuu. Hivi huu uvumi uvumao haudondokei kwenye xile takwimu zilizokatazwa? Zile za kupika (kwa mfano)

Haya wenye takwimu yenu mnaujua ukweli wake, mimi yangu ni hayo tu, hili naliita 'pigo kwa wanaume wa Dar)

Narudia kufunga uzi wangu kwa kidokezo;

"Nautabiri mwisho wa rafiki,
Kama ndivyo naomba maulana
Usimtende hivyo"

Nb: picha kama ilivyo nikuweka nguvu tu kwa hoja swali yangu, si kwa matumizi mengineyo (wala huu uzi si takwimu)
View attachment 659728
Ushoga na usagajii kwa sasa dar na mikoa miingine ni Jambo la kawaida tu,wanaume wanaofirana
Sasa Ni wengi na wanawake wanaosagana pia Ni wengi
 
Ushoga na usagajii kwa sasa dar na mikoa miingine ni Jambo la kawaida tu,wanaume wanaofirana
Sasa Ni wengi na wanawake wanaosagana pia Ni wengi
Dar Ni kwasababu watu Ni wengi na sarehe zipo nyingi lakini ushoga na usagajii hate mikoani upo Sana,jaribu kutembelea Facebook nabinsta utaona watu wanavyojitangaza
 
Mimi nadhani hao wawili kwenye ishirini ni wale watakao mikoani, ambao wakija Dar hutaka kujaribu kila kitu mwisho wa siku huishia pabaya...

Tatizo wa mikaoni ni wabishi sana...


Cc: mahondaw
 
hao dar wamehamia tuu ni wa mikoani hao, mtoto wa kuzaliwa dar hawezi kosa mishe za pesa mpka akaliwe tigo
 
Back
Top Bottom