Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Unawaonea tu hao makabwela.Hivi Tanzania kumeshaanza kuwa na chaguzi huru?Huyo dogo kama ana mwongozo wa baba yake basi ataukwaa tu uenyekiti whether makabwela watapiga kura or not.Kikwete akiwaambia hao UVCCM mtoto wake apitishwe unadhani kuna sisimizi atatia fyoko?
Hata uchaguzi ukiwa huru, watamchagua. Tumezoea mno kunyenyekea wale tunaoona wametuzidi. Inabidi tubadilike kama tunataka mabadiliko. Kutegemea mtu anayefaidika na hali iliyopo ndiyo alete mabadiliko ni kuota ndoto za Ali Nacha!
Amandla......
Chipukizi nao wana uongozi? Mpaka ngazi ya taifa? Umeanza lini mfumo huu?
Makubwa, acha nisishangae ya Musa nisije nikaona makubwa zaidiKhe khe khe umeanza kwenye awamu ya nne.
Habari za udaku hizi!
Miaka nane yuko la kwanza au la pili anatakiwa shuleni anagombea nini? does not make sense!
Wanaomchagua katoto hako ndio wasio na akili hata kidogo
Kama itakuwa kweli basi this the end of CCM nahisi ni udaku so far ! lets wait and see.
kama amevalishwa joho alivyomaliza vidudu unategemea akiwa darasa la pili ataacha kufikiria uenyekiti wa taifa.
bongo iko juuuu wewe......
...Mama anaonekana bado mchanga yule!!Kikwete na mkewe wana umri gani?
Kama wapiga kura wote ni watoto wa vigogo unaweza kuwa na wasiwasi,mwanao kama ana uwezo mwambie agombee wakulima wenzake watamchagua kama wakiona anafaa,kuwa mkulima ama mtoto wa kigogo hakumpi haki au kumuondolea haki aliyonayo katiak katiba ya nchi hii.ni vyema kukosoa lakini si vyema kuchukia kiasi cha kuchukia hata haki za watu kwa kigezo cha wadhifa ama kipatoUchaguzi wa chipukizi CCM Taifa Unao tarajiwa kufanyika tarehee 29 Dec 2009 Kitaifa mkoani morogoro umethibitisha kuwa famiia ya JK imejipanga kurithishana madaraka ya Nchi ya hii tofauti na Marais waliomtangulia.
Mtoto mdogo wa Kikwete Mwenye Miaka 8 Anagombea uenyekiti wa chipukizi Taifa, Tayari amewaita makatibu wa mikoa na wilaya wa umoja wa vijana nchi Nzima na kuwaeleza Dhamira yake ya kugombea Uenyekiti wa chipukizi Taifa Zoezi ili lilisimamiwa na uongozi wa UVCCM taifa.
Tukio hii linazidi kututisha sisi watoto wa wakulima ikizingatiwa Baba yake ni Mwenyekiti wa CCM Taifa na ni RAIS wa Tanzania, Mama yake (Salma Kikwete) ni Mjumbe wa mkutano mkuu kupitia wilaya wa lindi, fIrsrt Born wa Kikwete Ridhwan ni mjumbe wa mkutano mkuu CCM Taifa , na vilevile ni mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Taifa pia ni mjumbe wa kamati ya utekelezaji UVCCM Taifa, Kaka wawili wa mkulu ni wajumbe wa mkutano mkuu CCM Taifa kupitia Bagamoyo wacha mbali wanafamilia ambao ni wateule wake ktk Nafasi mbalimbali ndani ya chama na serikali eg KAWAMBWA etc.
Je na mimi mkulima wa huku kilombero mtoto wangu ataweza kushindana na mtoto anaeishi ikulu kwa kodi zetu? Dhana ya fursa sawa kwa wote itatimia au mama Ana Mkapa aliondoka nayo nyumba number 1 mtaa wa magogoni?
Amandla........ngawetuTatizo si yeye kugombea. Tatizo ni nyinyi makabwela kumpigia kura!
Amandla........
Tatizo si yeye kugombea. Tatizo ni nyinyi makabwela kumpigia kura!
Amandla........