Issue sio 'kuwa mtoto wa Rais'....apimwe kwa uwezo wake! kama anafaa kwa mujibu wa vigezo vya chipukizi wa UVCCM...well and good!
Labda tunajadili kwa kutoifahamu CCM lakini kama tunaijua CCM vizuri hakuna la kujadili hapa.
Watu wanamponda Mkapa lakini madudu ya JK ni noma kuliko hata mkapa.