Uvumilivu umemshinda Dkt. Hamis Kigangwala, aahidi 'Kujilipua' mazima kwa 'Maadui' zake Januari hadi Desemba 2022

Huyu jamaa ana elimu ila ni empty box kabsa... Cjui kwa nini CCM bado wanamshikilia..

Nishawahi semaga huyu jamaa itakuwa hata anachambana na mke wake au dereva wake..
 
Huyu hana lolote,kwanza hata huko kwenye lake la puge nzega watu hawamtaki na kamwe hatashinda tena,haelewani na ccm wilaya,hana hata mtu anayeelewana nae,na hii ndio shida ya kuzaliwa na kutomjua baba yake

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Wenye Akili tunajua kuwa kuna Watu mlidanganywa mno na mpaka kufikia Kuhonga baadhi ya Watu ndani ya 'System' ili mlambe 'teuzi' ila 'Mama' kawatosa na mmenuna kiasi cha kutuahidi Mambo ya Kipuuzi kuanzia mwakani.
Tumefikia hatua hiyo kweli? Mfumo jamani kwa nini lakini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…