Afu weye mbona hujanambia kama kuna sredi umeanzisha? Hivi gfsonwin bado uko kwenye mapenzi ya tamthilia? Ambia wote MwanajamiiOne, Mbu, nyumba kubwa, Mamndenyi Dark City na legends wote wa MMU... Kwenye penzi la kweli HAKUNA uvumilivu kwa kuwa penzi la kweli halina kisababisho cha mtu Kuvumilia. UVUMILIVU huja kwenye penzi la kulazimisha.... AMINA
gfsonwin nimeguswa sana na ushuhuda wako......my dearest sister sasa huyo mama mdogo watu watasema alikuwa mjinga labda ama hana kazi ama elimu etc. mimi naomba nikupe ushuhuda kidogo tu wa kwangu binafsi na nisemapo nimepita namaanisha.
mume waliwah kununua gari zuri sana sikuwa kulipanda zaid ya kimada aitwae ANA. nakumbuka enzi hizo nikienda salun sinza anakuja na pikipiki ya mume wangu ananitukana matusi ya nguoni na kunidoboleshea wanayofanya na mr ndani ya gari. sikuwah kumjibu hata siku moja wala kulia nillisema silii.
haikuishia hapo nyumba tuliyojenga alijua atahamia yeye akaja kunipa mchambo mtakatifu nikiwa nasuka nywele saluni moja mitaa ya sinza, kurudi home mr ukimweleza anakwambia kabisa wewe kwanini ulienda kusuka huo si unamfuta mwenyewe, ngoja akuumize. hapo napo nilivumilia.
kibaya zaid nilichukulia kama changamoto sikushtaki kwa nani wala nani na niliua hisia za hasira manake natoka kabila moja hivi so sikupende watu wachukulie kama sababu, wala sikumchukulia Rb. nikiwa navumilia bado mr alisafiri aliporudi alishukia kwake na zawadi zote za ulaya nakumbuka sitasahau. na baada ya siku kama 5 ndipo wanakuja wote home usiku nikamkaribisha. waliingia wote ndani hadi kwa rum, sikufichi walilala nikalala na watoto.
asbh wanaamka wanakuta hadi chai na supu iko mezani, walihisi nimetia sumu but niliwahakikishia kwa kula pamoja nao na watoto na nikafuta meza nkawaualiza mchana watakula nini. mtoto wa mume wangu ndiye aliyeuliza baba huyu ni nani? yule mwanamke aliapotaka kujibu tu ikawa kama mume wangu kaumizwa akamwambia tena kwa ukali wewe kahaba toka ndani mwangu. Nilishtuka kama naimepigwa shoti ya umeme. Mr alikasirika sana akataka kumpiga lakini nilimtetea yule mwanamke ili asije akaumizwa. mimi na wanangu tulilia sana.
yule ANA alitolewa ndani kama mwizi kwa mateke akiwa amejifunga kitenge changu kiunoni. na hapo bado mume wangu alikuwa na mtoto wa mashtuzi ambaye nilimkuta na niko nae hadi leo.
mume wangu alishangaa sana moyo wangu jinsi ulivyo, uvumilivu na upendo wangu kwake ulimbadilisha ndio maana nimwambiapo King'asti kuwa uvumilivu humbadilisha hata shetani kuwa malaika ni kweli nimeshuhudia. leo hii nina miaka zaid ya 10 na naifurahia ndoa. naamini hakuna binti ambaye anaweza kupita hapa ila mimi nilichoangalia ni nataka nini kwenye maisha yangu? na je kwanini nitaabishe amani yangu?
haikuwa kazi rahisi kuvumilia ila ni Mungu tu alinivusha sikuwah kushtaki hata siku moja kwa mama wala ndgu wa pande zote mbili wala kwa shosti zaid ya Mungu. niliia hadi mto ukalowa machozi nilisali hadi kung'ata sura za biblia nakumbuka zab 16&17. hadi leo hii hiyo biblia inaalama za meno ambazo nilizitia miaka kama 7 hivi iliyopita.
nihitimishe kwa kumtia mama mwenzangu moyo kuwa Mungu anaweza yote usimweleze mtu sema na Mungu. halafu omba amani uone yani muujiza hutokea punde.
gfsonwin pole mumie, una moyo wa chuma. Yaani nakuhakikishia ni wanawake wa kuhesabika wangeweza kuvumilia hilo tukio ukizingatia ni dharau ya juu mumeo alikuonyesha kuja na ANA nyumbani kwenu na kulala nae hapo jamani..my dearest sister sasa huyo mama mdogo watu watasema alikuwa mjinga labda ama hana kazi ama elimu etc. mimi naomba nikupe ushuhuda kidogo tu wa kwangu binafsi na nisemapo nimepita namaanisha.
mume waliwah kununua gari zuri sana sikuwa kulipanda zaid ya kimada aitwae ANA. nakumbuka enzi hizo nikienda salun sinza anakuja na pikipiki ya mume wangu ananitukana matusi ya nguoni na kunidoboleshea wanayofanya na mr ndani ya gari. sikuwah kumjibu hata siku moja wala kulia nillisema silii.
haikuishia hapo nyumba tuliyojenga alijua atahamia yeye akaja kunipa mchambo mtakatifu nikiwa nasuka nywele saluni moja mitaa ya sinza, kurudi home mr ukimweleza anakwambia kabisa wewe kwanini ulienda kusuka huo si unamfuta mwenyewe, ngoja akuumize. hapo napo nilivumilia.
kibaya zaid nilichukulia kama changamoto sikushtaki kwa nani wala nani na niliua hisia za hasira manake natoka kabila moja hivi so sikupende watu wachukulie kama sababu, wala sikumchukulia Rb. nikiwa navumilia bado mr alisafiri aliporudi alishukia kwake na zawadi zote za ulaya nakumbuka sitasahau. na baada ya siku kama 5 ndipo wanakuja wote home usiku nikamkaribisha. waliingia wote ndani hadi kwa rum, sikufichi walilala nikalala na watoto.
asbh wanaamka wanakuta hadi chai na supu iko mezani, walihisi nimetia sumu but niliwahakikishia kwa kula pamoja nao na watoto na nikafuta meza nkawaualiza mchana watakula nini. mtoto wa mume wangu ndiye aliyeuliza baba huyu ni nani? yule mwanamke aliapotaka kujibu tu ikawa kama mume wangu kaumizwa akamwambia tena kwa ukali wewe kahaba toka ndani mwangu. Nilishtuka kama naimepigwa shoti ya umeme. Mr alikasirika sana akataka kumpiga lakini nilimtetea yule mwanamke ili asije akaumizwa. mimi na wanangu tulilia sana.
yule ANA alitolewa ndani kama mwizi kwa mateke akiwa amejifunga kitenge changu kiunoni. na hapo bado mume wangu alikuwa na mtoto wa mashtuzi ambaye nilimkuta na niko nae hadi leo.
mume wangu alishangaa sana moyo wangu jinsi ulivyo, uvumilivu na upendo wangu kwake ulimbadilisha ndio maana nimwambiapo King'asti kuwa uvumilivu humbadilisha hata shetani kuwa malaika ni kweli nimeshuhudia. leo hii nina miaka zaid ya 10 na naifurahia ndoa. naamini hakuna binti ambaye anaweza kupita hapa ila mimi nilichoangalia ni nataka nini kwenye maisha yangu? na je kwanini nitaabishe amani yangu?
haikuwa kazi rahisi kuvumilia ila ni Mungu tu alinivusha sikuwah kushtaki hata siku moja kwa mama wala ndgu wa pande zote mbili wala kwa shosti zaid ya Mungu. niliia hadi mto ukalowa machozi nilisali hadi kung'ata sura za biblia nakumbuka zab 16&17. hadi leo hii hiyo biblia inaalama za meno ambazo nilizitia miaka kama 7 hivi iliyopita.
nihitimishe kwa kumtia mama mwenzangu moyo kuwa Mungu anaweza yote usimweleze mtu sema na Mungu. halafu omba amani uone yani muujiza hutokea punde.
Afu weye mbona hujanambia kama kuna sredi umeanzisha? Hivi gfsonwin bado uko kwenye mapenzi ya tamthilia? Ambia wote MwanajamiiOne, Mbu, nyumba kubwa, Mamndenyi Dark City na legends wote wa MMU... Kwenye penzi la kweli HAKUNA uvumilivu kwa kuwa penzi la kweli halina kisababisho cha mtu Kuvumilia. UVUMILIVU huja kwenye penzi la kulazimisha.... AMINA
Dada gfsonwin baada ya kusoma uzi wako, comments za wachangiaji wengine na majibu yako kwao, nathibitisha kuwa kwa mara ya kwanza nimejifunza jambo la msingi sana kuhusu maisha ya ndoa.
Asante sana kwa ushuhuda uliotoa. Hakika una moyo wa ajabu! Wengine huita moyo wa jiwe. Kutokana na niliyojifunza toka kwako, kuanzia sasa sitalalamika lalamika tena. Nitajipa raha/furaha na mambo mengine yote natumai yatafutia hiyo furaha. God bless you and your family abundantly!
Eiyer mdogo wangu hivi umesahau kwamba mtu hujaribiwa kwa kile akipendacho? tena usiseme nyamaza kimya dogo hujakua aisee, manake kama niliwah kupiga goti kumuomba Mungu mume na akanipa mume mzuri kisha akabadilika what does it mean when it comes to faith? kumbuka mpaka uombe kitu ina maana unakipenda na unachokipenda wewe pia kuna wengi hawatamani ukipate, na pia shetani naye anaweza tu kukushtaki kwa Mungu sasa huyu si alikuwa anaaomba ndoa mbona umempa mume mzuri je anaweza kumvumilia? tena ibilisi alivyo atasema wazi naomba nikamjaribu kama kweli alimaanisha kuipenda ndoa yake na ye Mungu atamwambia nenda. hapo ndipo utakapoona mchana ni usikuna usiku ni asubuhi.gfsonwin,sikuuliza kama ulimuuliza siku ile ile,hata baadae,ila inaonekana hujawahi kumuuliza na hili ni kosa.Ni kosa kwa sababu kama wewe ndo ulisababisha unaweza kusababisha tena.Kujua chanzo cha tatizo ni tiba ya kudumu.Kuhusu changamoto uliyopitia pamoja na matokeo chanya uliyopata,hukupaswa kuteseka namna hiyo.Kwa nini uteseke hivyo?Trust me,matokeo yoyote hasi kama yangetokea yangekua juu yako.Samahani lakini sikupi sifa kwa uvumilivu huo,na siwezi kumshauri yoyote kufanya uliyofanya,"it's a suicide",leo tunazungumza hapa kwa sababu ulitokea tundu la sindano,plz usimshauri mtu kufanya huo mchezo huo wa kifo.Hayo uliyofanyiwa yalihatarisha maisha yako na Mungu asingehusika na lolote hapo na hakupanga hayo,kumbuka Mungu alitoa ruhusa kuachana kwenye jambo hilo.USIRUDIE!Nenda kasome uzi wa Mtambuzi wenye kichwa cha habari "Mwanaume haonji mara moja" . . . . .. . .!
platozoom kama mtu anapiga goti kuomba ndoa basi na ajuae kabisa kuwa Mungu atampa ndoa njema sana lakin lazima atapita tu ili kumkuza kiimani na hapo ndipo atakapochagua ama kwenda na ibilisi ama kwennda na mungu.Sikujua kama huu mjadala umefika hapa tena pazuri.............Safi sana gfsonwin. Nafikiri pia wanandoa wengi zama hizi huwa wanaingia kwenye ndoa wakiwa na negative expectations...
1. Akinipiga tu naondoka
2. Nikimkuta ana mahusiano ya ngono na mwanaume/mwanamke mwingine hapo mwisho
3. Maisha yakienda kombo sina haja ya kuendelea naye......nani anataka shida
4. N.K
Na Biblia inasema "akiwazacho mtu ndicho kimtokeacho"........na hapo ndipo tunaposhindwa.
Eiyer that is your stance so sina tashwishwi nayo. kwangu mimi from the first time nilipoamua kuwa naingia ndoani i knew kwamba alikuwa ni chaguo langu toka kwa Mungu. na hata alipobadilika nilimuuliza Mungu kama kila kutoa kuliko kwema na kila kitolewacho kilicho kamili hushuka kutoka kwako na kwako hakuna kugeuka wala kivuli cha kubadilika badilika sasa kwanini huyu mume aliye mwema abadilike?? Pia eiyer Mungu alikuwa na uwezo wa kuzuia yote hayoYASITOKEE lakin kwanini aliruhusu yatokee?gfsonwin,bado sijaona cha kujifunza kwenye mchezo wako wa kifo.Hebu niambie,Mungu alikuoneshaje kuwa huyo ni mume bora mpaka ufikie kuvumilia mambo ya hatari kiasi hicho?Huo sio upendo ni maradhi.Narudia tena siwezi kumshauri mtu afanye hayo.Upendo haupo hivyo.Upendo ni pamoja na kujipenda.Unapojipenda ndipo unajifunza kupenda wengine,kuwapenda wengine ukajiacha wewe ni tatizo.Ni kweli mtu hujaribiwa na kile akipendacho lakini majaribu mengine ni sauti ya kukuambia uondoke mahali ulipo.Sihitaji kukua zaidi ya hapa ili kuyajua haya!
Eiyer that is your stance so sina tashwishwi nayo. kwangu mimi from the first time nilipoamua kuwa naingia ndoani i knew kwamba alikuwa ni chaguo langu toka kwa Mungu. na hata alipobadilika nilimuuliza Mungu kama kila kutoa kuliko kwema na kila kitolewacho kilicho kamili hushuka kutoka kwako na kwako hakuna kugeuka wala kivuli cha kubadilika badilika sasa kwanini huyu mume aliye mwema abadilike?? Pia eiyer Mungu alikuwa na uwezo wa kuzuia yote hayoYASITOKEE lakin kwanini aliruhusu yatokee?
ni kweli mungu karuhusu kutalikiana ikiwa ni juu ya maswala ya uzinzi lakin je ningekwenda kuanza kutiwa upya na wanaume wengine?au je ningeweza kuish pasi kutiwa?