uvumilivu...

Bishanga, keshacheatiwa na ANA kavumilia ije kuwa Kaunga? Au una maana Kaizer? Huyo mbona ......... sisemi, nisije nikaongopa nikasababisha maungamo bure!

lol hivi sijakwambia Kaunga, siku hizi hata Kaizer kapata ingizo jipya lol nimekaa pembeni kuepusha msongamano sasa.
 
Last edited by a moderator:
Ukiona Mtu anaongelea uvumilivu katika ndoa maana kuna mabadiliko au tofauti zisizo za kawaida. Kuna option mbili yaani Kama mnaanza maisha na hamna family basi fikiri faida za kuvunja ndoa na Toa hasara upate jibu. Lakini Kama mnao watoto basi hesabu zake zinakuwa ngumu kwani mchakato wa faida na hasara unahusisha na watoto ..

Lakini kumbuka ndoa ikiwa na tofauti basi haipo.. Wanaokuambia uvumilie wanalazimisha maisha yasiyo kuwepo...Kama maelewano yapo .. Neno uvumilivu halipo! Anayekushauri kuvumilia ndoa wakati wewe unapigika Mwambie aje ajaribu yeye !
 
Na mimi nilikuwa nawaza hivyo hivyo...

Huwezi kufanya maamuzi magumu kama una take into consideration other factors. Lazima variables nyingine ziwe held constant... nikiwa na maana ili ufanye maamuzi magumu inabidi ifike kipindi ujifikirie wewe na yeye... forget abaout kids...wakwe, ndugu jamaa na marafiki...

Kuanza kufikiria watoto watateseka... wakwe wanavyonipenda watanionaje.... kwetu hakuna aliyeachika... basi nakwambia utafia kwenye ndoa kwa kipigo au ukimwi.


 
Ninong'oneze nani huyo? Yaani pamoja na mifyonzo yote hiyo; men will always be men tu!

umeona eeh! siku hizi nimejionea bora nijiokokee nipate faraja kwa kuimba mapambio na kusali.
 

Mbona mimi nipo navumilia ukimya wako? au penzi letu ni la kulazimisha? Aisee nakutafta sana
 
shemeji upo?? mi mithd u huku kha! hivi mi na wewe tunavumiliana, thieti ee??

Kha! Shem upp? Nimekumisije sasa? Nipo sema nimetingwa kidogo
Na ripoti za gwajima na
Kova za kiuchunguzi ila nipo shem wangu,,, uvumilivu una huu sana tu mulize gfsonwin dadako wa moyoni!
 
Last edited by a moderator:
Kha! Shem upp? Nimekumisije sasa? Nipo sema nimetingwa kidogo
Na ripoti za gwajima na
Kova za kiuchunguzi ila nipo shem wangu,,, uvumilivu una huu sana tu mulize gfsonwin dadako wa moyoni!
gfsonwin hebu kam kwa pm kwanza, nina habari nyeti za kidplomasia lol! shem pole kwa majukumu ndio raha ya kuwa bred winner!
 
Last edited by a moderator:
Hommie uyo ndo nan? Sikmbuki kumsajili

Dah, inaonekana sikufata protokali ya kusajiliwa! kule kwetu tunasema "mashikolo mageni"
ngoja basi niwe mpole mpaka nisajiliwe kwanza, :smile-big:
 
Mkuu gfsonwin nakubaliana nakubaliana na maelezo yako yote hapo juu ila kuna kitu kimoja ambacho umekosea nacho ni kusema kuwa uvumilivu hutangulia na upondo hufuatia.

Nadhani unafahamu katika ulimwengu huu hakuna kitu kikuu kama upendo na upendo ukikosekana ndipo haya maovu yote hutokea. Sidhani kama ungekuwa unampenda jirani yako kama unavyoipenda nafsi yako ungemweza kumuibia jirani yako, kumtapeli, kumuibia mume wake n.k. lakini hayo yote hutokea kwa sabau hakuna upendo...(Samahani kwa kukutolea mfano)

Upendo siku zote hutangulia ndipo mambo mengine yote ikiwemo uvumilivu hufuata bila upendo hayo mengine yote hayawezi kutokea.
 
Last edited by a moderator:

mdogo wangu YM hayo uyasemayo kindharia ndivyo ilivyo lakn ukiwa unaish maisha ya ndoa kama ndoa yakupasa kushuffle uvumilivu utangulie na upendo ufuate. ukitanguliza upendo halafu mwenzio aikukoea utaumia sana na kuchukuia sana lakn uv=kiweka uvumikivu nakuhakikishia utaona ni sehem ya maisha na utaichukulia kama changamoto
 

I have never thought that it is possible kutanguliza uvumilivu halafu ndio upendo ufuatie. Anyway ntajaribu nione matokeo yake.
 
I have never thought that it is possible kutanguliza uvumilivu halafu ndio upendo ufuatie. Anyway ntajaribu nione matokeo yake.

siku uakapokuwa kisha ukaoa utajua maana ya entensi yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…