Uvunjaji wa demokrasia ndani ya CCM utaisha lini?

Uvunjaji wa demokrasia ndani ya CCM utaisha lini?

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Rais Samia amekuwa akisifiwa na machawa wake kwamba ni mpenda demokrasia eti ndiyo maana ameanzisha 4R.

Lakini kadiri muda unavyokwenda matendo yake ya kiuongozi ndani ya chama na serikali yanadhirisha kuwa Samia siyo muumini ya haki na demokrasia.

Tumeshuhudia akikataa kufanya mabadiliko ya miswada ya sheria za uchaguzi kulingana na mapendekezo ya wadau mpaka ameisaini kuwa sheria.

Na Sasa ndani ya chama chake ccm anasigina demokrasia kwa kuchapisha fomu moja tu ya mgombea urais kupitia ccm.

Bila shaka anafuata nyayo za mtangulizi wake aliyejitambulisha kuwa dikteta kamili. Yeye diye muanzilishi wa kuchapisha fomu moja ndani ya ccm na pia alizima internet wakati wa uchaguzi mkuu.

Screenshot_20240420-231350.png
 
Rais Samia amekuwa akisifiwa na machawa wake kwamba ni mpenda demokrasia eti ndiyo maana ameanzisha 4R.

Lakini kadiri muda unavyokwenda matendo yake ya kiuongozi ndani ya chama na serikali yanadhirisha kuwa Samia siyo muumini ya haki na demokrasia.

Tumeshuhudia akikataa kufanya mabadiliko ya miswada ya sheria za uchaguzi kulingana na mapendekezo ya wadau mpaka ameisaini kuwa sheria.

Na Sasa ndani ya chama chake ccm anasigina demokrasia kwa kuchapisha fomu moja tu ya mgombea urais kupitia ccm.

Bila shaka anafuata nyayo za mtangulizi wake aliyejitambulisha kuwa dikteta kamili. Yeye diye muanzilishi wa kuchapisha fomu moja ndani ya ccm na pia alizima internet wakati wa uchaguzi mkuu.

View attachment 2969490
CCM ni Chama chenye itikadi za Ukomunisti(Ujamaa), Je, Demokrasia itatoka wapi?
Ukomunisti na Demokrasia ni wapi na wapi?
Hivi unauliza kuhusu Demokrasia nchini Korea ya Kaskazini?????? Seriously??
 
CCM ni Chama chenye itikadi za Ukomunisti(Ujamaa), Je, Demokrasia itatoka wapi?
Ukomunisti na Demokrasia ni wapi na wapi?
Hivi unauliza kuhusu Demokrasia nchini Korea ya Kaskazini?????? Seriously??
Huko kwenye CHAMA cha DEMOKRASIA wana Mwenyekiti hajabadilishwa miaka 20+.
Be fair.

Tanzania haijawahi kuwa na itikadi za Kikomunisti.

Ujamaa maana yake ni self reliance. Wewe huo Ukomunisti umetoa wapi?

Wacha upotoshaji.
 
Huko kwenye CHAMA cha DEMOKRASIA wana Mwenyekiti hajabadilishwa miaka 20+.
Be fair.

Tanzania haijawahi kuwa na itikadi za Kikomunisti.

Ujamaa maana yake ni self reliance. Wewe huo Ukomunisti umetoa wapi?

Wacha upotoshaji.
Hahaha kwani tatizo liko wapi ikiwa anachaguliwa vipindi vyote hivyo. Kipi bora kuruhusu uchaguzi, ushiriki uchaguzi na ushinde ama ushidwe, au Kujiteua kuwa mwenyekiti.

Mwenyekiti wa ccm huwa achaguliwi, na sasa urais hawataki ushindani wametangaza form moja tu. Msajiri wa vyama yuko wapi, na anafanya nini?

Chama cha mapinduzi(CCM) siyo mali ya mtu ni chama cha uma wa watanzania, iweje mtu mmoja aodhi mamlaka bila uchaguzi na aachwe tu.
 
Huko kwenye CHAMA cha DEMOKRASIA wana Mwenyekiti hajabadilishwa miaka 20+.
Be fair.

Tanzania haijawahi kuwa na itikadi za Kikomunisti.

Ujamaa maana yake ni self reliance. Wewe huo Ukomunisti umetoa wapi?

Wacha upotoshaji.
Rais ndo mwenyekiti wa ccm tangu 1961,Kuna kitu hapo??
 
Huko kwenye CHAMA cha DEMOKRASIA wana Mwenyekiti hajabadilishwa miaka 20+.
Be fair.

Tanzania haijawahi kuwa na itikadi za Kikomunisti.

Ujamaa maana yake ni self reliance. Wewe huo Ukomunisti umetoa wapi?

Wacha upotoshaji.
Anapigiwa kula hakuna fomu moja hivyo anakubalika kwamba ainyoosha CCM
 
Hahaha kwani tatizo liko wapi ikiwa anachaguliwa vipindi vyote hivyo. Kipi bora kuruhusu uchaguzi, ushiriki uchaguzi na ushinde ama ushidwe, au Kujiteua kuwa mwenyekiti.

Mwenyekiti wa ccm huwa achaguliwi, na sasa urais hawataki ushindani wametangaza form moja tu. Msajiri wa vyama yuko wapi, na anafanya nini?

Chama cha mapinduzi(CCM) siyo mali ya mtu ni chama cha uma wa watanzania, iweje mtu mmoja aodhi mamlaka bila uchaguzi na aachwe tu.
Hapo demokcrasia imepinda
 
Hahaha kwani tatizo liko wapi ikiwa anachaguliwa vipindi vyote hivyo. Kipi bora kuruhusu uchaguzi, ushiriki uchaguzi na ushinde ama ushidwe, au Kujiteua kuwa mwenyekiti.

Mwenyekiti wa ccm huwa achaguliwi, na sasa urais hawataki ushindani wametangaza form moja tu. Msajiri wa vyama yuko wapi, na anafanya nini?

Chama cha mapinduzi(CCM) siyo mali ya mtu ni chama cha uma wa watanzania, iweje mtu mmoja aodhi mamlaka bila uchaguzi na aachwe tu.
🤔
 
Rais Samia amekuwa akisifiwa na machawa wake kwamba ni mpenda demokrasia eti ndiyo maana ameanzisha 4R.

Lakini kadiri muda unavyokwenda matendo yake ya kiuongozi ndani ya chama na serikali yanadhirisha kuwa Samia siyo muumini ya haki na demokrasia.

Tumeshuhudia akikataa kufanya mabadiliko ya miswada ya sheria za uchaguzi kulingana na mapendekezo ya wadau mpaka ameisaini kuwa sheria.

Na Sasa ndani ya chama chake ccm anasigina demokrasia kwa kuchapisha fomu moja tu ya mgombea urais kupitia ccm.

Bila shaka anafuata nyayo za mtangulizi wake aliyejitambulisha kuwa dikteta kamili. Yeye diye muanzilishi wa kuchapisha fomu moja ndani ya ccm na pia alizima internet wakati wa uchaguzi mkuu.

Kanasema hivyo ili kaendelee kufyonza mirija bila jasho
 
Back
Top Bottom