Uvutaji wa sigara unakera wengine

Uvutaji wa sigara unakera wengine

Pule

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2024
Posts
378
Reaction score
719
Habari za wakati huu!!..Kuna hili suala la uvutaji wa sigara Kila mahali,wavutaji hawajali wengine ambapo hawavuti,hawazingatii eneo wenyewe watakapo jisikia kuvuta eneo lolote wanavuta si barabarani,eneo lenyewe mkusanyiko wa watu hawajali Hilo. Hili suala linakera sisi wengine ambapo sio wavutaji na linatuumiza.
Serikali ingetenga maeneo mahususi ya kuvutia sigara na kuifadhi vipisi vya sigara vinavyobaki kama uchafu maana vinaharibu mazingira na hata jamii hususani Kuna baadhi ya watoto huokota na kwenda kujaribu kuvuta hii Ina athari sana
 
Sio ustaarabu kuvuta Sigara kwenye msongamano wa watu...

Kuna hotel nililala DSM, wametenga eneo maalumu la watu kuvuta.

Wameandika kabisa "Smoking area"
 
Nimeanzisha utaratibu mpya kila ninapo kutana na mtu anavuta sigara huwa naziba pua yangu kwa hatua kadhaa.

Tena ninaziba pale ninapokutana nae ili ajue sijapendezwa na kile anachokifanya. Wengine moshi unatuletea kichefu chefu sana.
 
Sio ustaarabu kuvuta Sigara kwenye msongamano wa watu...

Kuna hotel nililala DSM, wametenga eneo maalumu la watu kuvuta.

Wameandika kabisa "Smoking area"
Ndivo inavyotakiwa
 
Nimeanzisha utaratibu mpya kila ninapo kutana na mtu anavuta sigara huwa naziba pua yangu kwa hatua kadhaa.

Tena ninaziba pale ninapokutana nae ili ajue sijapendezwa na kile anachokifanya. Wengine moshi unatuletea kichefu chefu sana.
Wanakera sana
 
Hapana sida, titawaelekesa wale wa kiwanda wasanganye ile fuleva ya stobari ndani ya hisi sigara ya kupulisa pulisa... 😌😌😌
 
Nimeanzisha utaratibu mpya kila ninapo kutana na mtu anavuta sigara huwa naziba pua yangu kwa hatua kadhaa.

Tena ninaziba pale ninapokutana nae ili ajue sijapendezwa na kile anachokifanya. Wengine moshi unatuletea kichefu chefu sana.
Yn mm namwambia kbs asogee huko na msigara wake
 
Wanakera sana wao pamoja na wavuta bange.
 
Back
Top Bottom