Chambichambi
Senior Member
- May 23, 2022
- 139
- 229
Wadau habari zenu!
Leo naomba nitoe elimu kuhusiana na uvuvi wa dagaa katika ziwa letu pendwa Victoria. Kwa muda kadhaa sasa nipo najihusisha na uvuvi ktk ziwa hili hivyo nimeona niwaletee ukweli wa namna ya kuanzisha hii kazi.
Mtaji kwa kununua vifaa vyako ni kama ifataavyo.
Machine HP 9.9 = TSH 365,0000
Boat Tsh 200,0000
Kokolo la dagaa Tsh 150,0000
Taa Tsh 300,000
Spotlight Tsh 30,000
Vifaa vinginevyo 80,000.
Jumla = 729,0000
Ila unaweza ukaanza na boti ya kukodi kwa gharama ya Tsh 300,000 kwa Giza moja na machine ya kukodi kwa gharama ya Tsh 250,000 hadi Tsh 300,000.
Faida utakata gharama za kila kifaa ambacho mvuvi ameenda nacho kazini kila siku. Mfano
Machine na taa ni Tsh 30,000
Chakula 18,000 na mafuta kwa bei ya Tsh 3,800 per litre. Hivyo faida unapata Tsh 4,000 kwa kila liter. Then pesa inayo baki wewe kama tajiri utachukua nusu yake. Unaona faida hiyo?
Changamoto: Athari za hali ya hewa mfano upepo, badiriko ya bei kila siku, wavuvi kutokuwa waaminifu n.k
Karibuni ktk uvuvi wa dagaa ziwa Victoria kwani ni fursa iliyo na manufaa makubwa sana. Wa mikoani nipo tayari kuwa mwenyeji wako na nitakuelekeza mengi sana. Nipo GOZIBA, MULEBA KAGERA.
KARIBUNI SANA
Leo naomba nitoe elimu kuhusiana na uvuvi wa dagaa katika ziwa letu pendwa Victoria. Kwa muda kadhaa sasa nipo najihusisha na uvuvi ktk ziwa hili hivyo nimeona niwaletee ukweli wa namna ya kuanzisha hii kazi.
Mtaji kwa kununua vifaa vyako ni kama ifataavyo.
Machine HP 9.9 = TSH 365,0000
Boat Tsh 200,0000
Kokolo la dagaa Tsh 150,0000
Taa Tsh 300,000
Spotlight Tsh 30,000
Vifaa vinginevyo 80,000.
Jumla = 729,0000
Ila unaweza ukaanza na boti ya kukodi kwa gharama ya Tsh 300,000 kwa Giza moja na machine ya kukodi kwa gharama ya Tsh 250,000 hadi Tsh 300,000.
Faida utakata gharama za kila kifaa ambacho mvuvi ameenda nacho kazini kila siku. Mfano
Machine na taa ni Tsh 30,000
Chakula 18,000 na mafuta kwa bei ya Tsh 3,800 per litre. Hivyo faida unapata Tsh 4,000 kwa kila liter. Then pesa inayo baki wewe kama tajiri utachukua nusu yake. Unaona faida hiyo?
Changamoto: Athari za hali ya hewa mfano upepo, badiriko ya bei kila siku, wavuvi kutokuwa waaminifu n.k
Karibuni ktk uvuvi wa dagaa ziwa Victoria kwani ni fursa iliyo na manufaa makubwa sana. Wa mikoani nipo tayari kuwa mwenyeji wako na nitakuelekeza mengi sana. Nipo GOZIBA, MULEBA KAGERA.
KARIBUNI SANA