ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Infinix [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dahMnatongozaje wanawake wanaandika X badala ya S, una akili za kitoto na Infinix lako.
Agemate hao..
Kijana njoo kwa mashangazi tukulee uache kulia lia
Shangazi umenichanganya sana na hilo pajaAgemate hao..
Kijana njoo kwa mashangazi tukulee uache kulia lia
Ndo maana naku taka wewe😆, Nile mkubwa anae jielewa🤣🤣Mwanaume unaakili timamu unatoa wapi nguvu za kuchat au hata kula kimasihara 🤣 🤣 🤣 mtoto anayekuandikia X kwenye S,🤣🤣 nimepata na kichefuchefu ptuuuuuuuuu Intelligent businessman
Mwisho wa siku uje uitwe ng'ombe mgonjwa 🤣🤒Mwanaume unaakili timamu unatoa wapi nguvu za kuchat au hata kula kimasihara 🤣 🤣 🤣 mtoto anayekuandikia X kwenye S,🤣🤣 nimepata na kichefuchefu ptuuuuuuuuu Intelligent businessman
Mimi ni mwenyekiti wa ubahili, uenezi ni kwenye kataa ndoa😆Sio mwenezi tena?
Hakuna Cha kidato mzee, usikute Yuko 25+huyo binti ni wakidato cha ngapi
kijana wangu
mwandiko wake hovyo sanaHakuna Cha kidato mzee, usikute Yuko 25+
Kazi kweli kweli!!, sema kafundishwa adabu.mwandiko wake hovyo sana
Tena pesa yako aisee.Mwanaume hupaswi kujielezea kiasi hicho hasa kwenye ishu ya pesa.
kwa mwandiko huo ni sawa tuhKazi kweli kweli!!, sema kafundishwa adabu.
Ndo maana naku taka wewe😆, Nile mkubwa anae jielewa🤣🤣
ooooh kweli eet? 🤣 🤣 tafuta mama mlezi, mi sio mama mlezi totooMwisho wa siku uje uitwe ng'ombe mgonjwa 🤣🤒