Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
If you twerk it, I hold it, embrace then pound it🤣😆🤒ooooh kweli eet? 🤣 🤣 tafuta mama mlezi, mi sio mama mlezi totoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
If you twerk it, I hold it, embrace then pound it🤣😆🤒ooooh kweli eet? 🤣 🤣 tafuta mama mlezi, mi sio mama mlezi totoo
Dadeki zenu nyie mnaojiita uwabata.Naam Mimi kama raisi wa umoja wanaume bahili tanzania..
Nachukua Fursa hii kumpongeza mjumbe wetu.
Ni mtizamo tu, masela msi jenge chukiDadeki zenu nyie mnaojiita uwabata.
Mnazingua, nyie ndo mnaozalisha single maza mtaani then mwisho wa siku mnakuja na project za kataa ndoa, sijui uwabata for life, single maza haolewi na blah blah kibao.Ni mtizamo tu, masela msi jenge chuki
Pambana na hali yenuMnazingua, nyie ndo mnaozalisha single maza mtaani then mwisho wa siku mnakuja na project za kataa ndoa, sijui uwabata for life, single maza haolewi na blah blah kibao.
Binafsi nilikua huko kama ninyi, ila nikaja kujua tatizo lipo kwetu sisi wanaume.
Hatuutumii uanaume wetu, eidha kwa kutojua nature inataka nini au hatufuati vitabu vya dini (nature pia ipo mule).
Kaka unaeza niletea mwanamke nilie mzalisha Nika mkataa??.Mnazingua, nyie ndo mnaozalisha single maza mtaani then mwisho wa siku mnakuja na project za kataa ndoa, sijui uwabata for life, single maza haolewi na blah blah kibao.
Binafsi nilikua huko kama ninyi, ila nikaja kujua tatizo lipo kwetu sisi wanaume.
Hatuutumii uanaume wetu, eidha kwa kutojua nature inataka nini au hatufuati vitabu vya dini (nature pia ipo mule).
Omba omba pro max hafi 1300Mnawaokota wapi hawa omba omba?
Sasa mi nakujua kaka mkubwa??Kaka unaeza niletea mwanamke nilie mzalisha Nika mkataa??.
Punyeto itawaua.
Sasa unaeza ku declare maamuzi yako yawe yetu??Sasa mi nakujua kaka mkubwa??
Hapo nimegeneralize ni eidha upo humo au haupo.
Kama upo tubu na uache kama haupo basi usianze huo mchezo.
Maana hiki kivuli cha anonymous kinafanya watu mkitumie kama point tukuka.
Ni ushauri tu, Jiongeze.Sasa unaeza ku declare maamuzi yako yawe yetu??
Tutubu kwanini ??, kisa akati kila mtu ana preference zake.
Kama sifanyi, una anzaje kuni ambia nisi jaribu, means Uhuru wetu wa maamuzi unao wewe??
Hii nalo ni ugonjwa Kaka, get well soonNi ushauri tu, Jiongeze.
Sawa.Hii nalo ni ugonjwa Kaka, get well soon
Huko huko ulikopatikana weweKwani wanawake wa hivyo mnawapataga wapi jamani?
Pande hizi hakuna wanawake wajinga kiasi hicho😅Huko huko ulikopatikana wewe
AisePande hizi hakuna wanawake wajinga kiasi hicho[emoji28]
Wapo tuKwani wanawake wa hivyo mnawapataga wapi jamani?