Omari Frank
Member
- Jul 22, 2022
- 14
- 5
Mada kuu: UWAJIBIKAJI
Uwajibikaji ni hali ya kutimiza majukumu bila shuruti. Uwajibikaji unahusisha kufanya kazi kwa bidii, kujitoa katika shughuli za kijamii, kutunza familia na kulitumikia Taifa kwa nidhamu kubwa na uzalendo.
Kwa mataifa yaliyoendelea kama vile CHINA, JAPAN, MAREKANI n.k uwajibikaji umekua silaha yao kubwa inayochagiza maendeleo ya kiuchumi katika mataifa yao.
Kwa upande wa nchini kwetu Tanzania uwajibikaji upo lakini bado kuna changamoto kadhaa katika baadhi ya maeneo nchini ambapo tumekua tukishuhudia kesi nyingi za utekelezaji wa familia, Wizi, Uhuni, Ulevi uliopitiliza na mengineyo ambayo yote haya yanatokana na watu kutowajibika ipasavyo.
Wengine wanaadiriki kukwepa kulipa kodi na kuchangia kurudisha nyuma uchumi katika ngazi ya kitaifa.
NINI KIFANYIKE?
Uwajibikaji ni hali ya kutimiza majukumu bila shuruti. Uwajibikaji unahusisha kufanya kazi kwa bidii, kujitoa katika shughuli za kijamii, kutunza familia na kulitumikia Taifa kwa nidhamu kubwa na uzalendo.
Kwa mataifa yaliyoendelea kama vile CHINA, JAPAN, MAREKANI n.k uwajibikaji umekua silaha yao kubwa inayochagiza maendeleo ya kiuchumi katika mataifa yao.
Kwa upande wa nchini kwetu Tanzania uwajibikaji upo lakini bado kuna changamoto kadhaa katika baadhi ya maeneo nchini ambapo tumekua tukishuhudia kesi nyingi za utekelezaji wa familia, Wizi, Uhuni, Ulevi uliopitiliza na mengineyo ambayo yote haya yanatokana na watu kutowajibika ipasavyo.
Wengine wanaadiriki kukwepa kulipa kodi na kuchangia kurudisha nyuma uchumi katika ngazi ya kitaifa.
NINI KIFANYIKE?
- Elimu
- Sheria kali
- Wazazi na walezi wakishirikiana na walimu wawafundishe watoto uwajibikaji tangu wakiwa wadogo, kuwajengea uzalendo na mapenzi na nchi yao, kuwajengea nidhamu na ukakamavu.
Upvote
0