D___________Loy
Senior Member
- Jan 21, 2020
- 168
- 146
Habari wanajukwaa.
Mimi ni Mtumishi Sekta Binafsi. Mwenza wangu ni Mtumishi Sekta ya Serikali Idara ya Elimu. Tumepambana kuomba uhamisho wa kubadilishana na mtumishi mwenzake kwa kutumia mfumo wa online ess.utumishi. Mpaka sasa status zao zote zinasoma Tamisemi kwa zaidi ya miezi 7. Tukipiga simu Huduma kwa Wateja simu hazipokelewi na email hazijibiwi.
Wito wangu kwa wanohusika, tafadhali toa muongozo kama njia hii ya uhamisho (E-Transfer) ipo kwa ajili ya maslahi ya watumishi wachache wa serikali.
Mimi ni Mtumishi Sekta Binafsi. Mwenza wangu ni Mtumishi Sekta ya Serikali Idara ya Elimu. Tumepambana kuomba uhamisho wa kubadilishana na mtumishi mwenzake kwa kutumia mfumo wa online ess.utumishi. Mpaka sasa status zao zote zinasoma Tamisemi kwa zaidi ya miezi 7. Tukipiga simu Huduma kwa Wateja simu hazipokelewi na email hazijibiwi.
Wito wangu kwa wanohusika, tafadhali toa muongozo kama njia hii ya uhamisho (E-Transfer) ipo kwa ajili ya maslahi ya watumishi wachache wa serikali.