madawi mart
Senior Member
- Nov 27, 2018
- 176
- 88
Wana JF mwenye uzoefu wowote juu ya uwakala wa tigo pesa, m-pesa, airtel money tufahamishane kuanzia mwanzo line unanunua kwa bei gani? Na kias gani unaanza nacho unachoanzishia biashara?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ShukraniNavyofahamu Mimi ukienda tigo moja kwa moja unaenda na 1m kama mtaji wako wa tigopesa unapewa usajili wa jina lako kama wakala’ either jina lako ama kampuni
Ukinunua za watu ni makubaliano yenu’ unaweza kununua uwakala kwa mtu kwa laki1/2/3/4/5
Ila inakua kwa jina lake’ tofauti na ukienda moja kwa moja kwa kampuni husika...