Uwanja mkubwa wa mpira Chato wa nini?

Uchangiaji wa uwanja nitofauti na hosptl ama shule,inamaana hamtaki hata shule zijengwe huko wasukuma waelimike?
Kweli hii ni itaendelea kuwa mtoto kuwaza kwanini baba yangu asingekua Mo Dewji na mzazi kuwaza kwanini mwanangu asingekua Samatha
 
Uchangiaji wa uwanja nitofauti na hosptl ama shule,inamaana hamtaki hata shule zijengwe huko wasukuma waelimike?
Kweli hii ni itaendelea kuwa mtoto kuwaza kwanini baba yangu asingekua Mo Dewji na mzazi kuwaza kwanini mwanangu asingekua Samatha

uwanja hakuna chato, hospital zimejaaa mbna: hujawahi fika chato nn
 
Wesijui ndio umeandika nini Sasa hapo uwanja mkubwa ndio unaleta chakula ajenge soko kubwa
 
Mkuu kuna watu humu wanamatope kichwani.
 

Kweli ccm apologetics wote akili hawana. Yaani neno capacity kwako halina maana kabisa!
 
Tunataka Rais wetu awe anacheza mpira kama Pierre Nkurunzinza.
Halafu Chato ni lazima kupewe kipaumbele kuliko sehemu nyingine yoyote, Chato ni ardhi takatifu
Chattle ni taifa teule, Chattle ni nchi ya ahadi
By 2025 Chattle itakuwa jiji la kwanza ikifuatiwa na Dodoma
 
Huo mfano ndugu yangu haufanani kamwe na Chato, kwa taarifa yako mji mdogo wa chato upo kwa miaka mingi ikiwa ni pamoja ginnery ya kuchambua pamba ilijengwa hapo miaka mingi iliyopita na umeme ulikuwepo. Aidha, chato iko kwenye mwambao wa ziwa na ni bandari ndogo na kwa sasa mji huu ni makao makuu ya wilaya, hivyo usitegemee chato eti kuja kuwa magofu kama unavyodai wakati Raisi akiondoka madarakani. Chato pia iko kwenye barabara kuu ya kwenda Bukoba hadi nchi jirani. Kwa hiyo chato itabaki mji forever hadi mwisho wa dahari.
 
Kuna watanzania wanapenda kuishi na maumivu ya moyo pasipo sababu, huyu mleta mada ni mmojawao.
 
Watanzania na malalamiko baba mmoja mama mmoja.
 
6 years later, unaonekana ulikuwa na point.
 
Kila jiji na kila mkoa tunahitaji viwanja vya maana, utajiri tunao na uwezo wa kujenga tunao, why not?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…