uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Wakuu kutokana na rekodi kubwa aliyoweka huyu mwamba kutoka Tanga nashauri kwenye vile viwanja vikubwa vya soka vitakavyojengwa basi kimojawapo kiitwe Karia Stadium
Chini ya uongozi wake kwa mara ya kwanza nchi yetu itapeleka team
1.Wanaume afcon
2.Wanawake wafcon
3.Vijana under 20 afcon
4.Nadhani under 17 nao wameenda
Kama Simba queens wasingepigwa kule Ethiopia kama Ngoma huenda nao wangekuwa wameenda upande wa wanawake kwenye ligi ya mabingwa
Huku upande wa clubs ndio kabisa watu wanaitamani final
Jamaa kafanya kazi kubwa sitashangaa akipewa miaka mingi zaidi pale karume
Chini ya uongozi wake kwa mara ya kwanza nchi yetu itapeleka team
1.Wanaume afcon
2.Wanawake wafcon
3.Vijana under 20 afcon
4.Nadhani under 17 nao wameenda
Kama Simba queens wasingepigwa kule Ethiopia kama Ngoma huenda nao wangekuwa wameenda upande wa wanawake kwenye ligi ya mabingwa
Huku upande wa clubs ndio kabisa watu wanaitamani final
Jamaa kafanya kazi kubwa sitashangaa akipewa miaka mingi zaidi pale karume