Uwanja mpya Dodoma kukamilika 2021

Uwanja mpya Dodoma kukamilika 2021

Huyo ni Mtanzania na asili ya kukosoa kila kitu.
Zilijengwa barabara za line mbili, leo unaambiwa hazee hawakuona mbali ona leo wanabomoa. Hospital, mashule, system za maji, magorofa mafupi nk yote hayo kizazi hiki kinayaponda. Kikitengenezwa kikubwa nacho kinapondwa. Sijui Mtz anataka nn zaidi ya kukosoa.
Hao watu laki 1 twawaona ni wengi vipi kwa miaka 10 population itaendela kuwa hiyo hiyo?
Ukubwa wa uwanja hauna tija Kama miundombinu tumia akili
 
Hizi zinakamlilika lini? Kupanga ni Kuchagua maendeleo hayana chama.
SMRV.jpg


BRBA.jpg
 
Huo ujinga ulionao hauna tofauti sana na wanaokulipa buku saba! Huo uwanja utazalisha kiasi gani kwa mwaka? Hapa jadili suala la nchi itanufaikaje na sio habari za lumumba na ufipa kwani huko nikishahama kitambo! Itikadi zisizo na tija ni uchawi!
 
Hongera serikali mdogo mdogo tunspiga hatua na sisi kimichezo , mwaka huu tunaandaa Africon ya watoto viwanja vya michezo vikiongezeka tunaweza miaka ijayo tukaandaa hata fainali za mataifa Afrika ya wakubwa sisi wenyewe.
 
Back
Top Bottom