Uwanja pekee unaoweza kujengwa pale jangwani ni wa kufugia majini

Uwanja pekee unaoweza kujengwa pale jangwani ni wa kufugia majini

Wananchiiiii [emoji2][emoji2][emoji2] nikisema nyie ni mazuzu nitakuwa nakosea? Eti uwanja mpaka siku mkiuchomoa huo mwiko ndio mtakuwa na akili.

Hivi uwanja wenu utakuwa unaingiza mashabiki wangapi?

Contractor tayari mmeshampata? Ameshafanya tathimi ya eneo ambalo uwanja utajengwa? Kwa geography ya eneo la jangwani ni pesa nyingi sana itatumika pale.

Mmeshajua bajeti nzima ya uwanja ni tshs ngapi? Hizo pesa mtakopa au mnazo?

Kama mtaingia ubia na taasisi yeyote ili iwajengee uwanja kisha yenyewe pesa yake iirejeshe kupitia get collection au matangazo ya ndani na nje ya uwanja je mmejua itachukua miaka mingapi mpaka kukamili?

View attachment 2936860
Ukisikia upuuzi Sasa ndo huu. Ukiongelea usimba na uyanga uwanjani inatosha. Lakini ukiongelea taaluma usiyoijua huo ni Uzuzu. Anayewekeza lazima ajue ataweka nini na outcome ni ipi. Wewe unataka mwekezaji ajenge uwanja halafu hela yake bilioni 32 zirudi ndani ya miezi 12? Wenzio wanawekeza mpaka vizazi vinakuta babu Yao anapokea miamala. Kaa hapo Chumbe usubiri msosi wa mchana Kwa mboga aliyoleta shemejiyo.
 
Ukisikia upuuzi Sasa ndo huu. Ukiongelea usimba na uyanga uwanjani inatosha. Lakini ukiongelea taaluma usiyoijua huo ni Uzuzu. Anayewekeza lazima ajue ataweka nini na outcome ni ipi. Wewe unataka mwekezaji ajenge uwanja halafu hela yake bilioni 32 zirudi ndani ya miezi 12? Wenzio wanawekeza mpaka vizazi vinakuta babu Yao anapokea miamala. Kaa hapo Chumbe usubiri msosi wa mchana Kwa mboga aliyoleta shemejiyo.
😀😀 muwekezaji yupi wa kuwajengea uwanja nyie?
 
Wananchiiiii 😃😃😃 nikisema nyie ni mazuzu nitakuwa nakosea? Eti uwanja mpaka siku mkiuchomoa huo mwiko ndio mtakuwa na akili.

Hivi uwanja wenu utakuwa unaingiza mashabiki wangapi?

Contractor tayari mmeshampata? Ameshafanya tathimi ya eneo ambalo uwanja utajengwa? Kwa geography ya eneo la jangwani ni pesa nyingi sana itatumika pale.

Mmeshajua bajeti nzima ya uwanja ni tshs ngapi? Hizo pesa mtakopa au mnazo?

Kama mtaingia ubia na taasisi yeyote ili iwajengee uwanja kisha yenyewe pesa yake iirejeshe kupitia get collection au matangazo ya ndani na nje ya uwanja je mmejua itachukua miaka mingapi mpaka kukamili?

View attachment 2936860
Siyo tu kwa sababu Simba waneshindwa kujenga uwanja wenu basi na Yanga hawawezi. Hivi ule uwanja wenu mliokuwa mnachanga thumni thumni umefikia wapi au Mangungu kazifyeka?
 
Back
Top Bottom