Uwanja wa Azam na ubora wa taa

Unknown

Senior Member
Joined
Apr 12, 2010
Posts
164
Reaction score
102
Nangalia mechi ya azam na gwambina, vivuli vya wachezaji ni vingi mno, mchezaji mmoja anaweza kuwa na vivuli vinne, hii inahalibu ubora wa picha. Wakuu nyie mnaonaje au ni ushamba wangu
 
Wanafanya marekebiishoo soon...walishaliona hiloo
 
Azam complex hakuna uwanja pale kwa usiku nashangaa hao TFF wamekaa kimya hadi sasa.
 
Wanahitaji Taa za kuclear hivo vivuli
 
Kuna moja ya goli alilofungwa mlinda mlango wa Gwambina na Nado, bila shaka lilisababishwa na hilo tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…