permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Yale maduka yaliouza mechi ya kufungwa nne hayapo tena kwa sasa, kwa sasa mkijitahidi ni draw, sasa ni mwendo wa kutoa vipigo mfululizo.Halafu Simba hizo 4g awe anawapiga utopolo akiwa anawqfunga hawq wageni baadae watqkuwa wanaogopq kuja kwenye super cup
Mchezo wa mwisho ulikuwa Zanzibar, sijui huu ni wa mwaka upi.Usikumbushe mambo ya yaliyopita autatamani kuyakumbuka,goli tano bado ni kidonda kibichi kwenu Uto.
Mwana Utoalikuwa sahihi kama aliye waita mbumbumbu
Hata Rage hakukoseaKwa fikra hizi, kweli Eimey hakukosea...
nambie mbumbumbuSawa
Mwana Uto
Sawa wazee wa hamsaSawa
Mwana Uto
Vipi mwakalebela fcnambie mbumbumbu
Kwani nyie mwakalebela fc hamjawahi kufungwa 🖐️na MunyamaSawa wazee wa hamsa
poa mkuu ujue hii mechi ilikua yenu maana mwaliko mmewapa wenyewe, gharama za kuja kula,kulala na kunywa ni nyie bonanza la kwenu refa na wasaidizi ni wenuVipi mwakalebela fc
kwani nyie hamjawahi pigwa 5 na mabingwa wa kihistoriaKwani nyie mwakalebela fc hamjawahi kufungwa 🖐️na Munyama
Kumbe multiple ID's basi byekwani nyie hamjawahi pigwa 5 na mabingwa wa kihistoria
kuna siku itakuja kukufunga goli 20 usije kujiuaSo what kujisifia mechi ya kirafiki wakati ya kikubwa Unguja juzi kati ulikalia.
Tulia Uto, unatoa mshipa wa shingo kubishana kwenye mashindano ambayo hushiriki? Hizi ni mechi za Kimataifa ambazo wew kama Uto haupo, sas unabishania timu gani? Simba wanajipima nguvu kwaajili ya mechi za kimataifa, mashabiki wanafurahia kuona timu yao inafanya vizuri, wewe Utopolo unabishana humu, hulali.. unabishania NiniSo what kujisifia mechi ya kirafiki wakati ya kikubwa Unguja juzi kati ulikalia.
Haya mashindano ni ujinga wa Simba hakuna timu yoyote iliyoalikwa itacheza seriousmkuu ujue nacheka sana umeandaa mashindano wewe, wa kuwaalika umechagua wewe, umewalipia nauli malazi na chakula bado wamechoka na wamecheza kirafiki ila bado mmefurahi sana kuwashinda
Ha haaa....Manara kawaharibu nyie si bure.kama hii timu mbovu tunamuomba Barbara atuletee Liverpool tuwatoe show
Juzi tu Unguja nimekulamba, huna timu wewe kelele tu za mikia, paka na Manara.kuna siku itakuja kukufunga goli 20 usije kujiua
Wewe hujitambui, hiyo mechi ni ya kujisifia? Unguja ulikalia mkanyamaza, leo keleleeeeeeee......mbwiga nyie.Unaumia ukiwa pande zipi? Unaona ni haki yako peke yako kupigwa 4-1 ? Wakipigwa wengine unajisikia wivu. Why? Unateseka sana na bado. Leo mmelamba busha la BM.
Aisee nyie mlioanza kushabikia mpira miaka ya 2000 mna kazi.Tulia Uto, unatoa mshipa wa shingo kubishana kwenye mashindano ambayo hushiriki? Hizi ni mechi za Kimataifa ambazo wew kama Uto haupo, sas unabishania timu gani? Simba wanajipima nguvu kwaajili ya mechi za kimataifa, mashabiki wanafurahia kuona timu yao inafanya vizuri, wewe Utopolo unabishana humu, hulali.. unabishania Nini