Uwanja wa Biafra Kinondoni umezungushiwa mabati, hii si sawa hata kidogo

Uwanja wa Biafra Kinondoni umezungushiwa mabati, hii si sawa hata kidogo

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Biafra ilikuwa uwanja wa Mpira (openSpace) What is going on now mabati yamezungushwa. Sina hakika kama kuna kitu inajengwa ila inaonekana kuna kitu kinajengwa. Hii sio Sawa

Dar es Salaam open space zote zimeshachukuliwa ni moja ya miji ya ajabu sana

Kama sio maeneo ya majeshi kama Ukonga, Makuburi n.k hali ingekuwa mbaya sana

Viongozi wa Serikali wawe na huruma hata kidogo
 
Biafra ilikuwa uwanja wa Mpira (openSpace) What is going on now mabati yamezungushwa. Sina hakika kama kuna kitu inajengwa ila inaonekana kuna kitu kinajengwa. Hii sio Sawa

Dar es Salaam open space zote zimeshachukuliwa ni moja ya miji ya ajabu sana

Kama sio maeneo ya majeshi kama Ukonga, Makuburi n.k hali ingekuwa mbaya sana

Viongozi wa Serikali wawe na huruma hata kidogo
Zama za mama kila kitu kinawezekana sio muda kwa mkapa mtaona pamezungushiwa mabati waarabu wanajenga vituo vya mafuta
 
Labda wameona vijana wanavutia bangi na kufanya mapenzi wanataka wapaendeleze
 
Watu wanashida mbalimbali kichwani vichwa vinawaka moto madeni,Kodi,migogoro ya familia, umasikini wakakae wapi ukienda bar ni lazima ulipie ukikaa kwenye mabaraza mbele ya biashara za watu unafukuzwa nyumbani moto hakukaliki sehemu sahihi ilikuwa ni bustani za umma.
Ambazo zote wameuza kwa tamaa, watoto pa kuchezea hakuna
 
Watu wanashida mbalimbali kichwani vichwa vinawaka moto madeni,Kodi,migogoro ya familia, umasikini wakakae wapi ukienda bar ni lazima ulipie ukikaa kwenye mabaraza mbele ya biashara za watu unafukuzwa nyumbani moto hakukaliki sehemu sahihi ilikuwa ni bustani za umma.
Ambazo zote wameuza kwa tamaa, watoto pa kuchezea hakuna
Ni mambo ya ajabu sana
 
Biafra ilikuwa uwanja wa Mpira (openSpace) What is going on now mabati yamezungushwa. Sina hakika kama kuna kitu inajengwa ila inaonekana kuna kitu kinajengwa. Hii sio Sawa

Dar es Salaam open space zote zimeshachukuliwa ni moja ya miji ya ajabu sana

Kama sio maeneo ya majeshi kama Ukonga, Makuburi n.k hali ingekuwa mbaya sana

Viongozi wa Serikali wawe na huruma hata kidogo

Baada ya viwanja mtaanza kuuzwa nyinyi endeleeni na uchawa wenu kwa ccm!
 
Biafra ilikuwa uwanja wa Mpira (openSpace) What is going on now mabati yamezungushwa. Sina hakika kama kuna kitu inajengwa ila inaonekana kuna kitu kinajengwa. Hii sio Sawa

Dar es Salaam open space zote zimeshachukuliwa ni moja ya miji ya ajabu sana

Kama sio maeneo ya majeshi kama Ukonga, Makuburi n.k hali ingekuwa mbaya sana

Viongozi wa Serikali wawe na huruma hata kidogo
Mitano tena
Amefungua madirisha
 
Biafra ilikuwa uwanja wa Mpira (openSpace) What is going on now mabati yamezungushwa. Sina hakika kama kuna kitu inajengwa ila inaonekana kuna kitu kinajengwa. Hii sio Sawa

Dar es Salaam open space zote zimeshachukuliwa ni moja ya miji ya ajabu sana

Kama sio maeneo ya majeshi kama Ukonga, Makuburi n.k hali ingekuwa mbaya sana

Viongozi wa Serikali wawe na huruma hata kidogo
Huo uwanja ni mali ya CCM tangu mwaka 1915 na hati wanayo.
 
Back
Top Bottom