Uwanja wa Biafra Kinondoni umezungushiwa mabati, hii si sawa hata kidogo

Uwanja wa Biafra Kinondoni umezungushiwa mabati, hii si sawa hata kidogo

Biafra ilikuwa uwanja wa Mpira (openSpace) What is going on now mabati yamezungushwa. Sina hakika kama kuna kitu inajengwa ila inaonekana kuna kitu kinajengwa. Hii sio Sawa

Dar es Salaam open space zote zimeshachukuliwa ni moja ya miji ya ajabu sana

Kama sio maeneo ya majeshi kama Ukonga, Makuburi n.k hali ingekuwa mbaya sana

Viongozi wa Serikali wawe na huruma hata kidogo
Mashoga walijazana sana apo kinondoni waweke hata sheli tu
 
Hivi hawajui hivyo viwanja ndivyo tunavyopumzika wakitukatia umeme majumbani hakukaliki kisa joto? 🤣🤣 Navyo wanataka waviuze tukakae wapi sisi?
 
Uwanja wa mpira wa miguu bado uko na Watu wanafanya mazoezi..mabati yamezunhushwa nusu Uwanja
 
Back
Top Bottom