Uwanja wa gwambina unamilikiwa na nani?

Hawa ndio watoto wa mfalme wanaoruhusiwa kufanya ufisadi wa kutisha bila kuguswa
 
Ule uwanja pitch yake ni nzuri sana ila tatizo ni kwamba umbali toka kwenye pitch hadi kwenye stands ni karibu sana yaani ni kama hatua tatu tu kitu ambacho ni hatari kwa afya na maisha ya wachezaji. Mf ile motion wanayokuwaga nayo wachezaji wanapokimbiza mpira halafu wakapigana vikumbo au tackles mtu anaweza kwenda kujibamiza kwenye jukwaa. Halafu ameubana sana ilifikia kipindi mipira kama mitatu au minne hivi ilipigwa ikavuka paa la jukwaa na kutoka nje kabisa. Kwa mahali kama uswahilini hivi hyo mipira inakuwa ni sadaka,na hivi tff huwa wana mpira mmoja tu basi hata mechi inaweza ishia hapohapo. Ila amejitahidi sanaaa mana si vema kubeza ilihali Simba na Yanga hawana hata sehemu ya kufanyia mazoezi
 
Kwenye hio habari kuna maneno haya
"Lakini leo wakati wa uzinduzi wa uwanja huo meneja Mnyeti ambaye ni Mkuu wa mkoa wa Manyara amesema uwanja huo umegharimu kiasi cha shilingi 838,000,0000."

Wewe hujayaona hayo au ni msukuma wewe?
Hivi hiyo figure ya 838,000,000 inatamkwaje hapo? Ulimaanisha au ni error?
 
Huu uwanja na ule wa Mo kule bunju upi mzur? Maana Simba hawana uwanja watakuwa wanatumia wa Mo
 
Ni kweli jukwaa na pitch vipo karibu sana. Arsenal waliwahi kuwa na ttz km hili pale Highbury London, tulikuwa tunapata changamoto sisi mashabiki kuwadaka wachezaji waliosukumwa huko japo advantage ilikuwa rahisi kuomba jezi ama kumpa mkono mchezaji km nlivofanya mm kwa Thierry Henry ktk ile mechi ya UEFA Arsenal v Inter Milan ambayo arsenal alibidua meza kibabe kwa ushindi wa 5-1 baada ya kupigwa 3-1 Milan!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…