Uwanja wa JKT Tanzania pale Mbweni

Uwanja wa JKT Tanzania pale Mbweni

TFF inaendeshwa kwa rimoti sasa na wanaoiendesha wanajulikana.Tokea Marehemu Hans Pope afariki Simba imekuwa mtoto wa kambo pale TFF.
Baada ya mechi na JKT uwanja utafungiwa.
Ali Hassan ulifungiwa timu pendwa ikachezea Dodoma na ukafunguliwa baada ya siku 2.
Simba bila kuchukua uamuzi mgumu hizi njama zitaendelea.
Kama hili likitokea na kuwa kweli...

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Kama hili likitokea na kuwa kweli...

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Si hayo tu.Kuna conflict of interest za ajabu.Kuna Waziri maarufu tu Nchini alikuwa ana "wachezaji wake" Singida Fountain kama wachezaji 5 amewahamishia Ihefu.Analipa yeye mishahara yao na mikataba yao anayo yeye.Ni mpenzi mkubwa wa timu pendwa ya TFF. Wachezaji hao wanacheza kwa maagizo yake.TFF ipo kimya.
 
Back
Top Bottom