Uwanja wa JKT Tanzania pale Mbweni

Kama hili likitokea na kuwa kweli...

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Kama hili likitokea na kuwa kweli...

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Si hayo tu.Kuna conflict of interest za ajabu.Kuna Waziri maarufu tu Nchini alikuwa ana "wachezaji wake" Singida Fountain kama wachezaji 5 amewahamishia Ihefu.Analipa yeye mishahara yao na mikataba yao anayo yeye.Ni mpenzi mkubwa wa timu pendwa ya TFF. Wachezaji hao wanacheza kwa maagizo yake.TFF ipo kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…