TFF inaendeshwa kwa rimoti sasa na wanaoiendesha wanajulikana.Tokea Marehemu Hans Pope afariki Simba imekuwa mtoto wa kambo pale TFF.
Baada ya mechi na JKT uwanja utafungiwa.
Ali Hassan ulifungiwa timu pendwa ikachezea Dodoma na ukafunguliwa baada ya siku 2.
Simba bila kuchukua uamuzi mgumu hizi njama zitaendelea.