Uwanja wa Kaitaba: Simba SC yamuadhibu mbabe wake Tanzania kwa kumchapa tatu bila

Uwanja wa Kaitaba: Simba SC yamuadhibu mbabe wake Tanzania kwa kumchapa tatu bila

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
882
Reaction score
3,337
Timu ya Kagera Sugar Wanamkurukumbi leo ikiwa uwanja wa nyumbani wa Kaitaba itaumana na timu inayobebwa na kupendelewa Simba SC. Ikumbukwe mpaka sasa Kagera Sugar ndio kinara kwenye msimamo wa Ligi na pia ikumbukwe kwamba msimu uliopita Simba ilipigwa NJE NDANI na Wanankurukumbi.

Kikosi cha Kagera Sugar kinachoanza
Said Kipao
Mwaita Gereza
Devid Luhende
Hassan Isihaka
Erick Kyaruzi
Zawadi Manya
Awesu Awesu
Ally Ramadhan
Evarigestus Muswahuki
Abdallah Seseme
Yussufu Mhilu


Kikosi cha Simba SC kinachoanza
Aishi Manula
Shomari Kapombe
Mohamed Hussein
Tairone Santos
Paschal Wawa
Gerson Fraga
Deo Kanda
Mzamiru Yassin
Medie Kagere
Sharaf Shiboub
Ibrahim ajibu


Goli dkk 04 - Medie Kagere
Goli dkk 35 - Mohamed Hussein

MAPUMZIKO: KAGERA SUGAR 0-2 SIMBA SC

Goli dkk 78 - Medie Kagere

Full Time - Kagera Sugar 0-3 Simba SC
 
EFZLdQ4WsAEML0D.jpg
 
Back
Top Bottom