Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,968
- 8,139
Haya tembeza ndukum huo popoma wewe…. Laki Si PesaSimba akishinda leo nitatembea uchi Kariakoo, Kagera Sugar 3 Mbumbumbu 0
yule anayetaka kutembea uchi ajiandae tumuelekeze njia ya kupitia
Simba akishinda leo nitatembea uchi Kariakoo, Kagera Sugar 3 Mbumbumbu 0
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]Una nyumba wewe unaishi kwa mama ako
Aliwe mara ngapi? mzoefu huyo ...
Nimecheka kama lofaaaaYule mkuu wa mkoa shabiki wa Vyura mwambieni Simba tunarudi Dar na points zetu 3!
Aende akawatishie Al Shaabab sio Simba!!!
Tumeshangilia Sana na afanye atakalo!!!
Haya tembeza ndukum huo popoma wewe…. Laki Si Pesa
Huyu jamaa kajishushia heshima sana. Le' Brigadier Generale' Defao.FT Kagera& Mkuu wa Mkoa 0-Mnyama 3
Nyumba za kupanga zina kazi sana.Hii gemu isipoisha 3-3 njooni mchome moto nyumba yangu
Ha ha haaaa! Yule dingilai sijui alidhani sie tuko pale kambi ya Kakuma Kenya wanapoishi wasomali!!!Nimecheka kama lofaaaa
Simba hoyeeeee
Hatuna shida na nkundo yako.. cha msingi acha ushoga.Simba akishinda leo nitatembea uchi Kariakoo, Kagera Sugar 3 Mbumbumbu 0
Mkuu unaongeleaje impact ya Miraji... Huyu jamaa ametulia sana aiseeGoli 3, point 3, huku Kagera sugar akinyimwa nafasi ya kupiga hata shuti moja la uhakika kwa Manula. Saaaafi sanaaaa!
Uko Powa?Simba akishinda leo nitatembea uchi Kariakoo, Kagera Sugar 3 Mbumbumbu 0
Simba akishinda leo nitatembea uchi Kariakoo, Kagera Sugar 3 Mbumbumbu 0
We ndo nmekuona hapa upo uchi[emoji28][emoji28]Simba akishinda leo nitatembea uchi Kariakoo, Kagera Sugar 3 Mbumbumbu 0
Tuone huo uchi wako ni wa kike ama kiume!?Simba akishinda leo nitatembea uchi Kariakoo, Kagera Sugar 3 Mbumbumbu 0
Kweli...We Yanga tu
Miraji Athumani yuko lethal balaaa.Mkuu unaongeleaje impact ya Miraji... Huyu jamaa ametulia sana aisee
Kapanga wapi huyo, kajishikiza kwa mshikaji tu, tena homeboy.Nyumba za kupanga zina kazi sana.