Uwanja wa Kaitaba: Simba SC yamuadhibu mbabe wake Tanzania kwa kumchapa tatu bila

Miraji Athman n mchezaji mzuri sana licha ya kutoanza kucheza lakini akiingia huwa anacheza vizuri na kusababisha mathara kwa timu pinzani
 
Kwa hiyo miaka yooote hii ulikuwa unagongwa na mjinga mjinga? Loh!
Unaparamia football. Refer ktk records. Simba imeshinda mara nyingi zaid ya iliyoshinda kagera sugar. ILA KWA GAME TATU ZA MWIDHO KABLA YA HII NDIO IMEKUWA IKISHINDA KWA TOFAUTI YA GOLI MOJA KWA KILA MECHI. Sasa wale MBAO ni tofauti kbsa. HEBU WEKA RECORDS za mbao vs vyura UONE AIBU
 
Ongeza na Lipuli
 
wahaya wenzangu naskia kilichowaponza ni "senene na matoke" wanayumba tu uwanjani
 
Petrol ninayo tangu jana,ndio nilikua nakusubiri hapa unipe location ya hiyo nyumba
Nipo Zambia kikazi, nimekuja kumng'oa meno ZESCO. Nikirudi ntatoa vitu vyangu uichome. Mimi sio mhuni kama Muchacho, nikisema natoa simu, natoa simu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…