Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara Vodacom Premier League VPL' kuvurumishwa leo February 18, 2021 ambapo Biashara Utd wanapambana na Mabingwa wa Nchi Mnyama, Simba SC kwenye uwanja wa Karume mjini Musoma.
Mchezo huu unatarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua kwa muda wote dakika 90 huku kila timu kuhitaji ushindi na kujikusanyia alama tatu muhimu ili kuweza kujisogeza mbele zaidi kwenye msimamo wa VPL
Nani kuibuka na ushindi? Kumbuka mtanange huu wa VPL ni kuanzia saa 10: 00 jioni. Usikose Ukasimuliwa
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
==================
Mtanange wa VPL kati ya Simba SC na Biashara Utd umemalizika kwa Simba SC kuibuka na ushindi wa bao moja kwa bila, bao pekee la Simba likifungwa na Bernard Morrison kunako dakika ya 22 za mchezo.
FT, VPL: Biashara Utd 0-1 Simba SC
Mchezo huu unatarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua kwa muda wote dakika 90 huku kila timu kuhitaji ushindi na kujikusanyia alama tatu muhimu ili kuweza kujisogeza mbele zaidi kwenye msimamo wa VPL
Nani kuibuka na ushindi? Kumbuka mtanange huu wa VPL ni kuanzia saa 10: 00 jioni. Usikose Ukasimuliwa
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
==================
Mtanange wa VPL kati ya Simba SC na Biashara Utd umemalizika kwa Simba SC kuibuka na ushindi wa bao moja kwa bila, bao pekee la Simba likifungwa na Bernard Morrison kunako dakika ya 22 za mchezo.
FT, VPL: Biashara Utd 0-1 Simba SC