Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Yanga hata mbovu namna gani kwenye ligi haiwezi kufungwa no mikia mwaka juzi simba alishindwa kumfunga Yanga pamoja ubovu wote safari mmetoa sare mechi ya kwanza mkisawazisha dakika za majehi narudia kwenye ligi simba hawezi kumfunga Yanga Mikia ni Mikia tu hatuna jina jingine