chiqutitta
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 1,160
- 3,124
Jamani humu ndani sote tunajua si wote damu zimeendana wengine humu twachukiana kwa sababu au bila sababu
Mwingine anatokea tu kutomkubali member
fulani kutokana thread zake au comment zake wengine wanapita kimyakimya bila kutia neno hata kama amechukizwa lkn wengine wanarushiana maneno na kuna kichuki kinakuwa kimejengeka....
Ni muda wa mapatano toa povu kwa huyo member povu liwe zito haswaaa mpaka litakatishe mazingira.... Wasuluhishi tupo tutaweka mambo yawe sawa hata kama unamchukia mtu bila sababu sema nae aje kutoa mapovu yake. Karibuni
Mimi naanza na huyu nanii dah kanipita jina nitarudi nimtolee mapovu yangu
Mwingine anatokea tu kutomkubali member
fulani kutokana thread zake au comment zake wengine wanapita kimyakimya bila kutia neno hata kama amechukizwa lkn wengine wanarushiana maneno na kuna kichuki kinakuwa kimejengeka....
Ni muda wa mapatano toa povu kwa huyo member povu liwe zito haswaaa mpaka litakatishe mazingira.... Wasuluhishi tupo tutaweka mambo yawe sawa hata kama unamchukia mtu bila sababu sema nae aje kutoa mapovu yake. Karibuni
Mimi naanza na huyu nanii dah kanipita jina nitarudi nimtolee mapovu yangu