DOKEZO Uwanja wa mpira Babati (Kwara Stadium) hauna choo

DOKEZO Uwanja wa mpira Babati (Kwara Stadium) hauna choo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Fastaaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2016
Posts
575
Reaction score
855
Ni aibu kwa halmashauri ya mji wa Babati kuweza kujenga mamia ya frem za biashara kuzunguka uwanja wa mpira wa Kwara halafu wasiweze kuweka huduma ya choo.

Biashara mbali mbali zinafanyika katika eneo hili zikiwemo za vyakula, bar, butchers, saloon nk nk lakini ukitaka kukojoa unaambiwa ni hapo hapo pembeni ya duka kwenye ukuta.

Ajabu sana...

Maafisa afya wapo, wanaona wateja wa hizi bar tunavyopangana waume kwa wake kukojoa kwenye mitaro na ukutani, sema hawana jinsi maana Halmashauri washachukua kodi yao na choo ndo hawataki kujenga.

Nani wa kulaumiwa?

Haya Babati tungoje kipindupindu tuhare
 
Mkojoe kwenu mambo yasiwe mengi ..tuache kujadili sukari tujadili mikojo ya wana babati au Jenga choo cha kulipia apo
 
Ila mkuu we unaenda kuangalia mpira au unaenda kupuu

Ila wajenge bana. Kama Kuna mabaa wajenge tu
 
Diwani, Mwenyekiti na Afisa mtendaji wa hiyo halmashauri ukitaka kuwajua wasome hapo juu.
 
Back
Top Bottom