Mataga mnatia aibu ya karne masikini mweeeeeeeCCM ndio nchi, na nchi ndio CCM. Kama ulimchagua Magufuli ktk uchaguzi mkuu (kabla ya kufa kwake) basi umemchagua Samia na kama Uliwachagua hao ndio umeichagua CCM, na kama uliichagua CCM basi umechagua nchi na maendeleo
Wakati wewe unajua kirundi tuNikusaidie nini?
Umejibu bila kuilizwa, hakika kiswahili kwako ni kigumu labda ningeandika kirundiDiversification of economy,tumia ubongo kufikiri.
kwani kiwanja cha musoma kilijengwa lini na jiwe kaingia lini na hao wengine walikipanua kwa ukubwa gani tangu kijengweJiwe ndiye analaumiwa kuipendelea chato na wana chato wenzake.
Musoma unaweza kuilinganisha na chato kijijini?
Aende nani huko wewe?Kwa hii nchi ni ya mtu? Kila kinachofanywa kwa maendeleo ya wananchi ni kwa manufaa ya umma. Uwanja wa chato utatumika kwa manufaa ya watanzania wote.
Matusi ndiyo ilani yenuAhaaaaa, bwege mkubwa.
Naongelea chato international airportkwani kiwanja cha musoma kilijengwa lini na jiwe kaingia lini na hao wengine walikipanua kwa ukubwa gani tangu kijengwe
Siwezi kushindwa kuwajibu mataga wadogo kama nyinyi.Akikujibu nistue.
Hili sio swali mkuuKwani 1.6 km haiwezi kurefushwa na kuwa 3 km?