Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Mataga mnatia aibu ya karne masikini mweeeeeeeCCM ndio nchi, na nchi ndio CCM. Kama ulimchagua Magufuli ktk uchaguzi mkuu (kabla ya kufa kwake) basi umemchagua Samia na kama Uliwachagua hao ndio umeichagua CCM, na kama uliichagua CCM basi umechagua nchi na maendeleo