Uwanja wa New Jos | Ligi ya Mabingwa Afrika' Plateau United Vs Simba SC

Uwanja wa New Jos | Ligi ya Mabingwa Afrika' Plateau United Vs Simba SC

Hii ndio Simba sasa, hawa jamaa zile jezi ndio zimewaponza zile Simba akiona tambala la njano lazima alitafune tu.
Nasikia zimejaa madukani huku vyura wanajiandaa kuwa mashabiki wa kukodi
Balaa sana,yaani hilo pira biriani kule Niger lilikuwa ni audio,video yake live itachezwa uwanja wa Che Nkapa siku ya marudiano,tunawakaribisha wajae kwa uwingi kushudia pira halisi la mabingwa,sio pira lao nginjanginja.com na miguvu tele bila akili
 
Kwa kuanzia tu naomba nipewe Ushirikiano na Watu wa pale JNIA kisha Hoteli watakayofikia, Gari ya Wachezaji na Uwanja wote wa Mzee Mkapa.
Tunawashushia Malawi, halafu wanaletwa na basi kupitia Mtwara, hotel watakaa bagamoyo,
Mechi ichezwe siku ya kazi, hivyo itabidi watoke Bagamoyo mchana wakumbane na foleni tena wanapandishwa dalala mpaka kariakoo, pale wanatembea kwa mguu mpaka Uwanjani
 
Balaa sana,yaani hilo pira biriani kule Niger lilikuwa ni audio,video yake live itachezwa uwanja wa Che Nkapa siku ya marudiano,tunawakaribisha wajae kwa uwingi kushudia pira halisi la mabingwa,sio pira lao nginjanginja.com na miguvu tele bila akili
Sio niger,ni nigeria,niger ni nyingine kabisa
 
Ila kweli utopolo ni utopolo tu!
Yaani Nigeria leo wamekuwa utopolo?
Au kwa vile wamevaa jezi kama za uto
Mlihonga nyie. Mkapewa group la vilaza. Ila hamtafika mbali. Rais wa CAF mliemhonga kafukuzwa.
 
Plateau United bado wanasisitiza kuwa game yao ya marudio itawakilishwa na ndugu zao Utopolo..!
 
Back
Top Bottom