Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
68dk ya ngapi?
Shomari Kapombe yupo chini baada ya kupata rabsha..ameinuka mpira unaendelea
Plateau United 0-1 Simba SC
💪💪💪💪SIMBA NGUVU MOJA .
wanga hawa,ngoja waje bongo.Tutawapiga mayai viza,shwaini zaoNapenyezewa habari hapa kua mamluki naskia wanapulizia unga uwanjani
Ukikumbuka kutuwekea na dakika itapendeza sana boss!Miquissone anafanya mambo anakusanya Kijiji [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mungu ibariki Simba SC