Uwanja wa Old Trafford washushwa hadhi

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629


BREAKING πŸ”΄

Uwanja wa Old Trafford Stadium 🏟️ unaotumiwa na klabu ya Manchester United uneshushwa hadhi rasmi kutoka Nyota 5 mpaka Nyota 2 mara baada ya kubainika Kuna mazalia ya panya wengi sana chini ya pitch na sehemu zingine za ndani ya uwanja huo.

Ukaguzi wa kina umefanyika na umebainika kuwa uwanja huo una panya wengi kitu ambacho hakipendezi kwenye viwanja vya kisasa duniani.
[ Mike Keagan ]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…