Mwakamele 16
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,493
- 1,113
Basi, tufanye Simba wameshinda leo. [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnawashwawashwa kama kawaida yenu, mwisho wa msimu mnaandika barua ya kiswahili kwenda FIFAHiki ni kituko.
Anapigwa Njombe ila Yanga ndio wanaumia. Hii ni sayansi ya giza.
Wameshakalia mkia na kupigwa viwili mkuunjombe mji timu piga hao mikia tupo nyuma yenu
Hata wakipata hilo 1 wanaume wana mawili [emoji23]Nawatakia njombe mji ushindi hata wa bao 1.
Tumeshinda na Mpira Umeisha.hii simba mbona inaweza kudroo na njombe,kwan kwa stand na mbao kule mwanza ilikuwaje
afadhali tumeshinda ila nilikuwa na wasiwasi mno haswa manula alivyoumiaTumeshinda na Mpira Umeisha.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wameshakalia mkia na kupigwa viwili mkuu
Hivi matokeo yameandikaje ubaoni?Njombe ushindi
wapi weweHii Ndiyo Sifa ya [HASHTAG]#Ndala[/HASHTAG] Huanza Kukata Viuno Kabla Ngoma Haijapigwa