Uwanja wa Sheikh Amri Abeid | Vodacom Premier League VPL, Coastal Union Vs Simba SC

90+3'

Ni wakati wa Sambusa uwanja wa Sheikh Amri Abeid

Vodacom Premier League ambapo Simba wanaongoza kwa mabao Saba bila majibu.

Manula kwake Ame, anacheza kwake Ndemla, inapigwaa lakini wanachukua Coastal Union

Naaam mpira umekwishaaaa ambapo Simba wanaibuka kwa mabao Saba bila majibu

Ghazwat.....

Coastal Union 0-7 Simba SC
 
Alihamndulilahi walahi swadakta takbir subaana wataala
 
Wewe ndo mzigo. Nadhani wewe ni Yanga mwenzangu unataka kujifanya Simba. Onyango ni bongea beki mtulivu sana. Mnyama mugalu nashukuru hakucheza siku ile tumetoa draw,Larry sisi Yanga tuliporwa kihuni. Ni bonge la mchezaji.


HATA KAMA TUNASHIDA.
1. JOASH ONYANGO.
2. PASCAL WAWA.
3. GERSON FLAGA.
4. KAHATA NYAMBURA.
5. CRISS MUGALU.
6. LARRY BWALYA.

NAMTAFAKARI MORISON....BENARD MORISON

HAWA NI WACHEZAJI MIZIGO KWA SIMBA WOOTE WAONDOKE.
 
Sisi Simba sc hatuzitaki hizo Billion 20 Mo hizo atuzitaki jamaaaaaaaaani
 
Ila pamoja na kushinda Dilunga amekuwa mlaini sana akiguswa kidogo kaanguka ile mechi ya kazi ns Tunisia asingeweza kucheza.
Wawa leo amepoteza mipira mingi kwa pasi ndefu kwani ilikuwa haifiki sehemu sahihi.
Nyoni ameendelea kuonyedha ubora wake.
 
Simba kama CCM.

#MITANOTENA.


SIMBA TUNASENA

#UBINGWATENAVPL.
 
Ongera kwa kupata pt 3, Ila mnacheza Kama walevi, sijaona biriyani bali mataputapu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…