Uwanja wa Sheikh Amri Abeid | Vodacom Premier League VPL, Coastal Union Vs Simba SC

Uwanja wa Sheikh Amri Abeid | Vodacom Premier League VPL, Coastal Union Vs Simba SC

Hivi mpaka uwe kocha wa timu ya taifa unatakiwa uwe vipi sielewi Kwa hapa tz maana huyu kocha wa coast ndio kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Tanzania kafungwa goli nyingi nyingi duuu Kwan makocha wenye Mambo mazuri hawapo mpaka hawa najiulizaga maswali mengi tu
 
Back
Top Bottom