Uwanja wa Simba Bunju Wanoga

Yanga na mashabiki wake kichefu chefu kweli. Wao wataendelea tumia Loyola hadi 2100
 
Gwambina wana arena wako kimya..kupanda nyasi na vyuma chakavu vya magoli ndio makelele yote haya
Wana wapenzi wasiozidi 100 na wapo Nyegezi tu, hizo tambo za uwanja zitafika wapi.
 
Iri mradi pasiee na mafuriko kifuku
 
Hivi huo uwanja au garden pana. nielewesheni tofauti ya garden na uwanja wa simba
 
Sio timu zote kongwe zinaviwanja vyao,ac millan ,inter Milan , Chelsea zote hizo hazin viwnja
 
Hapa sawa na mzee wa miaka 60 afurahie na kujigamba kwa kununua baiskeli! Wale Gwambina wametoa somo zuri sana.....
Yanga sawa na mzee wa miaka 200 anajigamba na nini?
 
Kwahiyo kama kuna makosa yalifanyika huko nyuma ni bora waache kabisa kujenga viwanja sasa hivi sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…