An Eagle ebu waulize viongozi wa yanga ni lini wataanza kujenga uwanja kama huu wa simba la sivyo nyie mashabiki mnaojielewa mtaamia simba
Ungekuwa unanifahamu kwanza ungeona aibu hata kufungua mdomo kuongea au kuogopa kabisa kuanza kujibizana NA Mimi. Unataka nikuambie Mali nilizonazo NA kipato nilichonacho ili uwajulishe TRA wanipe Kesi ya uhujumu uchumi wa Tz kusudi niingie kwenye mapatano haramu NA Serikali ya kugawana Mali zangu na ili ipate pesa za kumalizia miradi yao ya ujenzi wa ma-fly over ya Ubungo, SGR, Stiglers , etc?? sitanasa kwenye mtego huo kamwe.Usikute wewe unakaa nyumba ya kupanga!
Hebu tuambie wewe ni kipi ulichokifanya katika maisha yako cha kukufanya uwe mwerevu kwenye maendeleo
Sio timu zote kongwe zinaviwanja vyao,ac millan ,inter Milan , Chelsea zote hizo hazin viwnja
Ndio... Niko korokoroni hapo kama deiwaka!Ulishawahi kufika hapo Uwanjani Mkuu?
Hebu uangalie vizuri Mkuu.Ndio... Niko korokoroni hapo kama deiwaka!
Uingereza Ardhi ilishamalizika yote tangu miaka ya 1400, baada ya hapo hapa kuwa NA Ardhi tena ya kutosha KWA matumizi makubwa ya ujenzi WA viwanja. Tz Ardhi IPO bwerere ya kutosha inapatikana hadi Leo hii
Gharama za kupata Ardhi ya kutosha UK Ni kubwa sana kupita kiasi ukilinganisha NA hali ilivyo nchini Tz. Upatikanaji WA Ardhi nchini Tz ni sawa NA bure, unlike in UK.Kwahiyo uwanja wa Emirates, Wa Spurs vimejengwa Mbinguni au?
Na uwanja wa Liverpool mpya wa Mazoezi unajengwa baharini au?
Project ya uwanja wa Chelsea unataka kujengwa Angani au?
Acha kubwabwaja
Tanzania bado kuna safari ndefu sana ktk suala zima LA maendeleo endelevu.
Timu za Simba NA Yanga kama zingekuwa kwenye nchi zingine hadi Leo hii ndio zingekuwa timu "bilionea" KWA ukwasi WA pesa. Kununua tu kiwanja basi Watz wameona kama timu imeendelea sana kumbe Ni majanga tupu.Kutokana NA ukongwe WA timu hizi, mpaka sasa ingekuwa hata NA viwili kikubwa vya kuweza kuchukua watazamaji angalau 45,000 kwenye kila mji mkubwa hapa nchini Tz.
Huu uwanja haujazingatia utaalam wowote
Sasa mabuldozer yaliletwa pale kama uremvo lakini mwishoni vibarua na saidia fundi ndio walikuwa wanalima uwanja na kusawazisha.
Hahahaha...yaani ni kama yai kweli
Mvua ikinyesha utajaza maji hapo na kipindi cha jua kutakuwa na vumbi la kutosha.
Yaani walishindwa kuweka land surveyors na engineers wawasaidie kuanzia designing ya eneo.
Poor Mikia.....!!!
Uwanja umekaa kama yai,
sasa hapo wachezaji watasimama vipi. Uwanja umekaa upande
Uwanja umekaa kama yai,
sasa hapo wachezaji watasimama vipi. Uwanja umekaa upande
Kiwanja gani kina matege. Magori ys mianzi. Hamna kitu hapo.
Duhhh....lodilofa wa gazeti la saniUngekuwa unanifahamu kwanza ungeona aibu hata kufungua mdomo kuongea au kuogopa kabisa kuanza kujibizana NA Mimi. Unataka nikuambie Mali nilizonazo NA kipato nilichonacho ili uwajulishe TRA wanipe Kesi ya uhujumu uchumi wa Tz kusudi niingie kwenye mapatano haramu NA Serikali ya kugawana Mali zangu na ili ipate pesa za kumalizia miradi yao ya ujenzi wa ma-fly over ya Ubungo, SGR, Stiglers , etc?? sitanasa kwenye mtego huo kamwe.
Anyway, Ni kweli kabisa kuwa Mimi ninaishi ktk nyumba ya kupanga , KWA sababu siwezi kujenga nyumba kwenye nchi za Watu ugenini.Huku Mimi nachuma tu pesa Lakini kujenga nyumbani Tz, isitoshe nchi yao yenyewe tayari imeshajengeka yote imemalizika NA hakuna Ardhi tena iliyobaki wazi ambayo Unaweza kujenga nyumba, labda ununue nyumba kisha uibomoe NA hatimaye uweze kujenga tena nyumba nyingine.
Kwani wananchi na wao si wanao uwanja wao pale panapojaaga maji wakati wa masika au wivu huo unawazungumzia kmc?Wenye wivu wajinyonge baba wenye wivu wajinyonge *2