Uwanja wa Simba Bunju Wanoga

Uwanja wa Simba Bunju Wanoga

An Eagle ebu waulize viongozi wa yanga ni lini wataanza kujenga uwanja kama huu wa simba la sivyo nyie mashabiki mnaojielewa mtaamia simba
 
Usikute wewe unakaa nyumba ya kupanga!

Hebu tuambie wewe ni kipi ulichokifanya katika maisha yako cha kukufanya uwe mwerevu kwenye maendeleo
Ungekuwa unanifahamu kwanza ungeona aibu hata kufungua mdomo kuongea au kuogopa kabisa kuanza kujibizana NA Mimi. Unataka nikuambie Mali nilizonazo NA kipato nilichonacho ili uwajulishe TRA wanipe Kesi ya uhujumu uchumi wa Tz kusudi niingie kwenye mapatano haramu NA Serikali ya kugawana Mali zangu na ili ipate pesa za kumalizia miradi yao ya ujenzi wa ma-fly over ya Ubungo, SGR, Stiglers , etc?? sitanasa kwenye mtego huo kamwe.

Anyway, Ni kweli kabisa kuwa Mimi ninaishi ktk nyumba ya kupanga , KWA sababu siwezi kujenga nyumba kwenye nchi za Watu ugenini.Huku Mimi nachuma tu pesa Lakini kujenga nyumbani Tz, isitoshe nchi yao yenyewe tayari imeshajengeka yote imemalizika NA hakuna Ardhi tena iliyobaki wazi ambayo Unaweza kujenga nyumba, labda ununue nyumba kisha uibomoe NA hatimaye uweze kujenga tena nyumba nyingine.
 
Sio timu zote kongwe zinaviwanja vyao,ac millan ,inter Milan , Chelsea zote hizo hazin viwnja

Uingereza Ardhi ilishamalizika yote tangu miaka ya 1400, baada ya hapo hapa kuwa NA Ardhi tena ya kutosha KWA matumizi makubwa ya ujenzi WA viwanja. Tz Ardhi IPO bwerere ya kutosha inapatikana hadi Leo hii
 
Uingereza Ardhi ilishamalizika yote tangu miaka ya 1400, baada ya hapo hapa kuwa NA Ardhi tena ya kutosha KWA matumizi makubwa ya ujenzi WA viwanja. Tz Ardhi IPO bwerere ya kutosha inapatikana hadi Leo hii

Kwahiyo uwanja wa Emirates, Wa Spurs vimejengwa Mbinguni au?
Na uwanja wa Liverpool mpya wa Mazoezi unajengwa baharini au?
Project ya uwanja wa Chelsea unataka kujengwa Angani au?

Acha kubwabwaja
 
Kiwanja gani kina matege. Magori ys mianzi. Hamna kitu hapo.
 
Kwahiyo uwanja wa Emirates, Wa Spurs vimejengwa Mbinguni au?
Na uwanja wa Liverpool mpya wa Mazoezi unajengwa baharini au?
Project ya uwanja wa Chelsea unataka kujengwa Angani au?

Acha kubwabwaja
Gharama za kupata Ardhi ya kutosha UK Ni kubwa sana kupita kiasi ukilinganisha NA hali ilivyo nchini Tz. Upatikanaji WA Ardhi nchini Tz ni sawa NA bure, unlike in UK.
 
Kwa mtizamo wangu Simba walipaswa wapongezwe kwa sababu pesa zilizokuwa zinatumika kukodi viwanja vya mazoezi sasa zitaokolewa na kufanyia kazi nyingine. Na hii ilipaswa kuwa changamoto kwa Yanga na vilabu vingine walau kila timu iwe na uwanja wake wa mazoezi. Timu zetu zinatumia kiasi kikubwa sana cha pesa kukodi viwanja vya mazoezi na wakati mwingine huwa ni vichaka vya upigaji pesa kwa viongozi wajanja wajanja.
 
Kwani kwa uelewa wako mkuu, maendeleo ni nini?

Team haikuwahi kuwa na kiwanja hata cha mazoezi, lakini sasa inacho tena siyo kimoja viwili na vyenye hadhi ya kimataifa. Embu niambie ni nini kitamzuia mtu asiseme kuwa hilo si jambo la maendeleo?
Tanzania bado kuna safari ndefu sana ktk suala zima LA maendeleo endelevu.
Timu za Simba NA Yanga kama zingekuwa kwenye nchi zingine hadi Leo hii ndio zingekuwa timu "bilionea" KWA ukwasi WA pesa. Kununua tu kiwanja basi Watz wameona kama timu imeendelea sana kumbe Ni majanga tupu.Kutokana NA ukongwe WA timu hizi, mpaka sasa ingekuwa hata NA viwili kikubwa vya kuweza kuchukua watazamaji angalau 45,000 kwenye kila mji mkubwa hapa nchini Tz.
 
Muwe na tabia ya ku appreciate vitu vzr mwenzako anavyofanya, itakusaidia sana kuepukana na sonona.

Msimu uliopita tu hapo, uwanja wa nyasi wa taifa baada ya kupiga mvua mechi ziliahirishwa, na huo je haukuzingatia utaalamu wakati wa kujenga? Au kwasababu Simba anajenga ndy tunatoa povu?
Huu uwanja haujazingatia utaalam wowote

Sasa mabuldozer yaliletwa pale kama uremvo lakini mwishoni vibarua na saidia fundi ndio walikuwa wanalima uwanja na kusawazisha.

Hahahaha...yaani ni kama yai kweli

Mvua ikinyesha utajaza maji hapo na kipindi cha jua kutakuwa na vumbi la kutosha.

Yaani walishindwa kuweka land surveyors na engineers wawasaidie kuanzia designing ya eneo.

Poor Mikia.....!!!
 
Mnaona wivu Tu...kisa bwawa lenu Kaunda Lina shape ya hexagon!
 
Ungekuwa unanifahamu kwanza ungeona aibu hata kufungua mdomo kuongea au kuogopa kabisa kuanza kujibizana NA Mimi. Unataka nikuambie Mali nilizonazo NA kipato nilichonacho ili uwajulishe TRA wanipe Kesi ya uhujumu uchumi wa Tz kusudi niingie kwenye mapatano haramu NA Serikali ya kugawana Mali zangu na ili ipate pesa za kumalizia miradi yao ya ujenzi wa ma-fly over ya Ubungo, SGR, Stiglers , etc?? sitanasa kwenye mtego huo kamwe.

Anyway, Ni kweli kabisa kuwa Mimi ninaishi ktk nyumba ya kupanga , KWA sababu siwezi kujenga nyumba kwenye nchi za Watu ugenini.Huku Mimi nachuma tu pesa Lakini kujenga nyumbani Tz, isitoshe nchi yao yenyewe tayari imeshajengeka yote imemalizika NA hakuna Ardhi tena iliyobaki wazi ambayo Unaweza kujenga nyumba, labda ununue nyumba kisha uibomoe NA hatimaye uweze kujenga tena nyumba nyingine.
Duhhh....lodilofa wa gazeti la sani
 
Ukikamilika naomba Hati apewe MZEE Kilomoni ,nazani ni mwaminifu katika kutunza Hati
 
Back
Top Bottom