Uwanja wa Simba Bunju Wanoga

MO amepiga pesa sana hapo kwenye huo ujenzi wa viwanja. sijaona uwanja wa ajabu hapo, yaani mwekezaji wa bilioni 20 anashindawa kujenga uwanja aibu sana
Lile bwawa pale kwenye lile gofu mmeshindwa kufuga samaki mlishe wachezaji mmeishia kujaza fusi, nyie ndio chazo cha mbu muhimbili
 
Hapa ndio umeharibu sasa.

Azam ana Uwanja miaka nenda rudi ambao unachezewa mpaka mechi za Kimataifa na hakuna aliyejinyonga ije kuwa huo ambao hata majukwaa hauna. [emoji848]

Tooba. [emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Unaongea kinyoooonge ule wenu ndondo cup unaanza lini
 
Subiri tuje tukuopoe jangwani na mvua hizi, huna hela wewe kutwa unashinda pale makumbusho ya club kucheza bao.
 
sawa mtu wa blue>
 
Wenye wivu wajinyonge baba wenye wivu wajinyonge *2
Hajinyongi MTU hapa labda awe mnyalu, ila tutajipanga kushinda changamoto tulizonazo na kufanya mambo mazuri zaidi ya mliyofanya. Wivu wa maendeleo rukusa
 
Tuusubili kwa hamu
 
Hivi sasa haujageuka kichaka cha chatu na kenge kweli🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…